Wale walevi sugu damu zao zishakua na alcohol 24/7 akigusa hata glass 1 tu unashangaa zimeshapanda tayari mkuu.basi ww huna kichwa cha pombe..yan wine glas 1 unawehuka?jitahidkukubali umefeli..acha tu
Yani ukimaliza kusema hayo maneno 200 unakuta koo limeshakauka balaa,inabidi kupiga funda 3 za bia ili kupooza koo kidogo mkuu.Kabla hujalala, sema sitaki kunywa pombe mara 200. Na ukiamka sema hivyo hivyo kimoyo moyo mara 200. useme kwa hisia kali sana huku ukikumbuka madhara yaliyotokea, mademu wakali uliopoteza, masela walivyokudharau na mambo mengine mengi mabaya yaliyosababishwa na pombe. Na wakati unafanya hivyo uwe umekusudia kwa dhati kuacha.
Fanya hivyo kwa mwezi mmoja, utabadilika..kwani pombe utaichukia kuliko unavyomchukia shetani.
Usipobadilika, nna njia mbadala...
Satan
Kuacha ni maamuzi yako tu. Kwani ulipoanza kunywa ulishauriwa na mtu???Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.
Yani ukimaliza kusema hayo maneno 200 unakuta koo limeshakauka balaa,inabidi kupiga funda 3 za bia ili kupooza koo kidogo mkuu.
Hahah hakuna namna tena mkuu.umenichekesha dah
Thanx brother from another mother!Huyu jamaa anafanya jokes tuu, walevi wote huwa wanapenda pombe sanaaaa na inakua tamu balaaaaaa, na wengine huwa nanakunywa kwa reason fulan. Na huwa atufikiliii kuacha maana ndo best thing ya mlevi dunian sasa wew chagua kimoja unacho penda. Ulevi au maendeleo full stop ukipenda vyote ongeza plans za kusaka money ndio suruhsho
Ipi mkuu?Kabla hujalala, sema sitaki kunywa pombe mara 200. Na ukiamka sema hivyo hivyo kimoyo moyo mara 200. useme kwa hisia kali sana huku ukikumbuka madhara yaliyotokea, mademu wakali uliopoteza, masela walivyokudharau na mambo mengine mengi mabaya yaliyosababishwa na pombe. Na wakati unafanya hivyo uwe umekusudia kwa dhati kuacha.
Fanya hivyo kwa mwezi mmoja, utabadilika..kwani pombe utaichukia kuliko unavyomchukia shetani.
Usipobadilika, nna njia mbadala...
Satan
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana na kufanya mambo ya ajab ajabu,hua naacha kwa week 1 then narudi kwa kas ya 4G,naomba mdau yeyote aliewahi kuacha,aliyenaushauri au mwenye dawa ya kuacha hii mboyoyo anisaidie.Nahitaji msaada wenu wadau,dhihaka sio mahali pake! Ahsanten.