Polycarp Pengo hajamuandaa askofu Ruwa'ichi alipokuwa seminari. Aliyemuandaa Ruwa'ichi ni padri Cyprian Tirumanywa wa jimbo kuu la Mwanza

Namfahamu padri Cyprian Tirumanywa. Nikienda Mwanza huwa napenda nionane naye na kubadilishana mawazo. Nadhani alifundishwa na Prof Hans Kung wakati akisoma huko Ujerumani maana 'teolojia' yake kuhusu 'pope infallibility au 'authority in the Catholic Church' inafanana na ya Prof Kung, ambaye pia alijikuta akiingia matatani na Kanisa Katoliki na hivyo kuzuiwa kufundisha 'teolojia' kwenye vyuo vya Kanisa Katoliki. Pia mtazamo au msimamo wa Prof Kung kuhusu euthanasia unapingana na wa Kanisa Katoliki. Nje ya haya, wote Prof Kung na Fr Tirumanywa ni 'great thinkers'.
Ukisoma ujerumani lazima dish liyumbe.Germans are liberals na huhoji kila kitu ndio maana viongozi wa dini wakiosomea ujerumani wa kanisa lolote lile liwe lutheram,Catholic,nk wako so liberal na huhoji Sana SI mambo ya kanisa tu Hadi ya Mungu.Huko ndiko wametokea wabishi Akina Martin luther na huyo Hans Kung na ndiko alitokea papa Benedict ambaye kanisa Katoliki liliamua limuweke pembeni wampe papa Francis wa sasa baada ya kuona huyo papa mjerumani analipeleka kanisa Katoliki ndiko siko
 
Mentoring, teaching, kuandaa hata kama ni siku moja TU!!! hata kama ni masaa mawili

Pengo sio mjinga na hawezi kusema uwongo

Ilikuuma kwani?
Ni kweli kabisa! Unaweza kukutana na mtu siku moja akabadilisha maisha yako sembuse mwaka mzima. Sio lazima mtu awe Rector ndio amuandae mwanafunzi wake hata Mhadhari (Lecturer) ana nafasi kubwa maana ndie ana-interact na wanafunzi kila siku.
 
Mahali popote ni Mungu. Mungu ndiye aamuaye! Hajapenda Papa atoke Afrika. Kulikuwa na minong'ono kuwa Papa kabla ya John Paul II alikuwa awe mwafrika. Wazungu wakafanya yao! Aliyechaguliwa kafa. Sijui hapo Mungu alikataa kura ya makardinali! Mungu hakutaka.
P. leo bandiko lako umetumia nguvu zaidi kuliko akili. Umejiweka level moja na akina Yehodaya. Kuna tofauti kubwa kati ya kufundisha na kuandaa mwanafunzi. Wanafunzi wote wanafundishwa. Kati yao, baadhi yao au mmoja wao; ndio uandaliwa.
Kuhusu hili la kuandaliwa, watanzania wengi hatulijui. Angalia wakati wa uchaguzi wa rais, watia nia lukuki. Wanafanya kazi pamoja zaidi ya muongo mzima, hawajuani. Kila mmoja anataka kuwa rais. Ukiuliza unapewa jibu jepesi la demokrasia. Ukiangalia vizuri hiyo demokrasia huioni bali mtifuano na makundi kama ya kimafia. Tanzania kwenye hivyo vinyanganyiro makamu wa rais au waziri mkuu haingii hata kwenye ishirini bora. Vinyanganyano tu. Hakuna anayeandaliwa. Mnyukano kwa kwenda mbele. Sadakalau. Anapata yeyote. Tunaye. Anaanza kujiandaa mwenyewe akiwa Ikulu. Nani amuandae? Wa aina hiyo ya bush wakali. Kila kitu anajua yeye. Hashauriki. Mamlaka ni yeye tu. Hazina yote ni yake. Sifa na utukufu kwake. Anamsahau hata Muumba wake!
Mwanafunzi anafundishwa masomo yote husika. Anayeandaliwa kuna mambo extra curricular anafafanuliwa. Yawezekana kabisa akawa sio best student lakini ana kipaji fulani. Hicho kipaji ndicho kinalelewa na mwalimu aliyekiona. Hakuna anayeandaa geniuses. Wanazaliwa. Tanzania hawa huwa hawafiki mbali kimasomo. Wanafukuzwa shule kwa utovu wa nidhamu. Ni walimu wachache wanawaelewa. Kama zamani mashoto walivyokuwa hawaeleweki. Walinyanyapaliwa na kupigwa. Siku hizi walimu wameelewa kuwa hata akina Obama sawa!
Mwalimu kama hajamfanyia mwanafunzi hayo yanayoitwa extra curricular yatosha tu kusema alimfundisha. Kama vile mnadogosha(P.) kufundisha. Kufundisha( curriculum) ni msingi ambao juu yake ndio wajuzi wanaweka extra curriculum. Wanasomea upadri. Hakuna anayesomea uaskofu!

Mimi sidhani kwamba Mungu hajapenda papa atoke Afrika. Papa kutoka Afrika, America, Asia, Latin America etc kunaweza kusababishwa tu na watu gani ni wengi katika kupiga kura. Mfano, kwa sasa mapadri wamepungua sana Ulaya na wameongezeka Afrika na sidhani pia kuongezeka au kupungua kwa idadi ni mapenzi ya Mungu. Mimi nadhani papa anaweza kutoka Ulaya, Afrika, Asia au Latin America kukawa sawa tu mbele ya Mungu provided papa anayechaguliwa ana wito wa utume wake na ana'deliver'. Kinachompendeza Mungu ni uprightness and sincerity of heart katika kila jambo.
 
What do you gain by hating Pengo?

Nothing!

Na wewe una gain nini kwa “kumpenda” Pengo??

Nothing!

Who’s better??Nobody!

Y’all niggas full of shit!

Y’all niggas never learn,look at you,you are in a casket,still sleeping!
 
Mimi sidhani kwamba Mungu hajapenda Mungu atoke Afrika. Papa kutoka Afrika, America, Asia, Latin America etc kunaweza kusababishwa tu na watu gani wako wengi katika kupiga kura. Mfano, kwa sasa mapadri wamepungua sana Ulaya na wameongezeka Afrika na sidhani pia kuongezeka au kupungua kwa idadi ni mapenzi ya Mungu. Mimi nadhani papa anaweza kutoka Ulaya, Afrika, Asia au Latin America kukawa sawa tu mbele ya Mungu provided papa anayechaguliwa ana wito wa utume na ana deliver. Kinachompendeza Mungu ni uprightness and sincerity of heart katika kila jambo.
Tanzania pia Mikoa iliyokuwa ikitoa mapadri wengi Sasa hivi haitoi Tena.Tatizo nafikiri Ni la kifedha.Ukiwajaza wengi utawatunzaje? Waumini wenyewe mabahili Kama Nini.Na unakuta mzazi hataki kabisa mtoto wake aende upadri hata akitaka.Zamani mapadri wazungu walikuwa watu wa miradi mikubwa mikubwa hawakutegemea sadaka.Mapadri wa kitanzania wengi Ni wale wa kusalisha na kuangamisha tu hata miradi mingi iliyoachwa na mapadri wazungu walishaiua kwa kushindwa kuisimamia
 
Mkuu Magobe T,

Heshima zako na asante kwa kumuumbua Paschal Mayala maana yeye amekariri kwamba huku JF ukisema wewe ndiyo anaamini.

Hata mimi nikitaja Canon Laws au Catechism, yeye haamini, anaamini Magobe T.

Anyway, japo ni ujinga wake lakini kwa hii umemfundisha nidhamu.

Kuhusu padri Cyprian Tirumanywa fanya jambo hili.

Ukiingia mle chumbani mwake utakuta libary ya vitabu vya kijerumani tupu na kigiriki.

Kuna kitabu alitunga mwaka 1980 kinaitwa "Christian Religion in crisis" hadi unajiuliza hivi ni wangapi wangeweza kumuelewa wakati ule.

Padri Cyprian ni zaidi ya genious, ni wachache sana hapa nchini. Askofu Ruwaichi anamheshimu kwa u-genious wake kwani Ruwaichi naye ni geniuos.

Ndiyo maana japo Tirumanywa aliogopwa na aliwashinda Butibubage na Mayala lakini Ruwaichi waliwezana.

Cc:
Pascal Mayalla

Namfahamu padri Cyprian Tirumanywa. Nikienda Mwanza huwa napenda nionane naye na kubadilishana mawazo. Nadhani alifundishwa na Prof Hans Kung wakati akisoma huko Ujerumani maana 'teolojia' yake kuhusu 'pope infallibility au 'authority in the Catholic Church' inafanana na ya Prof Kung, ambaye pia alijikuta akiingia matatani na Kanisa Katoliki na hivyo kuzuiwa kufundisha 'teolojia' kwenye vyuo vya Kanisa Katoliki. Pia mtazamo au msimamo wa Prof Kung kuhusu euthanasia unapingana na wa Kanisa Katoliki. Nje ya haya, wote Prof Kung na Fr Tirumanywa ni 'great thinkers'.
 
Kimsingi kanisa lilifanya makosa sana kutomtumia padri Tirumanywa na walitaka kufaulu hadi aingie kaburini bila kujulikana lakini imeshindikana.

Namfahamu padri Cyprian Tirumanywa. Nikienda Mwanza huwa napenda nionane naye na kubadilishana mawazo. Nadhani alifundishwa na Prof Hans Kung wakati akisoma huko Ujerumani maana 'teolojia' yake kuhusu 'pope infallibility au 'authority in the Catholic Church' inafanana na ya Prof Kung, ambaye pia alijikuta akiingia matatani na Kanisa Katoliki na hivyo kuzuiwa kufundisha 'teolojia' kwenye vyuo vya Kanisa Katoliki. Pia mtazamo au msimamo wa Prof Kung kuhusu euthanasia unapingana na wa Kanisa Katoliki. Nje ya haya, wote Prof Kung na Fr Tirumanywa ni 'great thinkers'.
 
Mtoa mada acha upotoshaji. Baba Mwadhama ni binadamu, anaweza akawa na mapungufu yake kama ilivyo kwako na kwangu, hata hivyo hiyo isiwe sababu ya wewe kumchafua. Muache mzee wetu apumzike abaki kuwa mshauri wetu vijana. Ukatoliki kama ilivyo dini ya Kikristu umejengwa juu ya msingi wa kuchukuliana na msamaha, haujajengwa juu ya misingi ya mabifu na kuchafuana. Embu kaa chini tafakari upya juu ya ukweli wa hiki ulichokipost hapa na madhara yake kwako, kwa huyo uliyemtuhumu, jumuiya ya Wakatoliki na Watanzania kwa ujumla. Ikikupendeza omba toba kwa Mungu kisha ufute uzi huu hautapungukiwa na kitu bali utajiongezea point ya kupata seat mbinguni.
 
Hahaha kwani mnagombania nini?! Halafu mko jukwaa la SIASA, kwanini Mods hawa hamishii uzi huu kwenye jukwaa la DINI?!
 
Wote hao ni watumishi wa Tiss hamna viongozi wa dini humo.Pengo mara sijui nani mpaka Sheikh mkuu wa Bakwata ni watumishi wa idara hao waliojibanza kwenye kivuli cha dini.So serikali haina dini lakini inazicontrol dini.
 
Kimsingi kanisa lilifanya makosa sana kutomtumia padri Tirumanywa na walitaka kufaulu hadi aingie kaburini bila kujulikana lakini imeshindikana.
Kwani lengo la upadri Ni kujulikana?
Kanisa halikukosea yeye Ndie alikosea kukua vingi sio issue ,Kuna kitu kingine ambacho yeye alikuwa hakijui na ujuaji wake wote nacho Ni How to get along with other people including his superiors na how to work with others peacefully.Yeye tatizo lake Ni Messianic thinking ya kuwa yeye Ndie the only Messiah aliyekuja duniani kukomboa kanisa Katoliki.This is Lunatism Ni dallili za ukichaa na yawezekana anacho.Sababu wengi wenye thinking ya aina hiyo ya I am the only one n the society who can huwa Ni wehu.Na kichaa huwa kinawasumbua Mara kwa Mara.Nafikiri na wewe una dalili zote za ukichaa sababu unawaza kuwa kanisa lilikosea kumtumia huyo. New Messiah anayejua ukatolik kuliko hata founders wa ukatoliki.Unaposema kanisa lilikosea Ina maanisha Hadi Papa alikosea kwa kutomupa huyo.messiah mpya aliyetelemshwa visiwa vya ukerewe his holiness highly knowledgabe than any Catholic in the world padre Tirumanywa.Kwangu Mimi namwona Kama ni lunatic nafikiri hata kanisa lilimuacha kumtumia sababu waligundua ana ukichaa.
 
Kuhusu padri Cyprian Tirumanywa fanya jambo hili.
Ukiingia mle chumbani mwake utakuta libary ya vitabu vya kijerumani tupu na kigiriki
Hivyo vitabu vya kijerumani na kigiriki ndio vimemharibu.Wagiriki Ni philosophers SI watu was dini.Dini kwao Ni upumbavu ,wajerumani Ni liberal thinkers they don't take anything for granted.Waandishi wao wengi wa kijerumani Wana anti Catholic stance kwenye issues nyingi sababu kubwa Ni kuwa wajerumani hujiona wao ndio the best in the world Ni inborn mwingine humwona hajui ndio.maana watu Kama Martin Luther,Hitler,Hans kung walitokea huko.Hivyo ukikomalia vitabu vyao lazima roho ya ujuaji ya kijerumani ikuingie ujione wewe Ndie Bora kuliko wengine kwa kuwa na hoja za kukosoa kibao kanisa.Vitabu vya kigiriki Hivyo ndio balaa hasa Hivyo hufunza kuhoji kila kitu hata Jani la mti likiangua unatakiwa uhoji kwa Nini limeanguka kuelekea chini ardhini halikuanguka kuelekea juu mawinguni likatue mwezini.Hivyo vinafunza kuhoji Hivyo hata adkofu akisema fanya hivi msomi was vitabu vya kigiriki lazima ahoji kwa Nini? Hapo ndipo Askofu anapoamua kuwa padri wewe Tirumanywa nenda chumbani kwako kaendelee kusoma vitabu vyako vya kijerumani na kigiriki nakufungia huko huko chumbani na mavitabu yako hakuna kutoa huduma ya kipadri.Soma mavitabu yako hadi kichwa chote nywele zinyonyoke kea kukariri kijerumani na kigiriki
 
Back
Top Bottom