Polycarp Cardinal Pengo azidi kutishiwa

Status
Not open for further replies.
Hivi kwa nini sehemu yoyote waliopo waislam panafukuta moshi ?

Mkuu hatahivyo hawajawahi kushinda kote huko.Angalia nigeria, leo mkatoliki anawatawala pamoja na kuwakataa, na nchi ile sasa imetulia watu wanakula maisha equally, bila kujali muislam wala mkristu.Ukianza na Mungu lazima umalize na Mungu.Tumtegemee mungu zaidi mungu wa kweli aliye hai.mwanzo na mwisho
 
Zambia Rais sata alisema yeye ataongoza nchi kwa kutumia amri za Mungu.Ukianza na mungu utamaliza na Mungu
 

Mkuu, post yako ina reflect elimu ya madrasa; Tafadhali usilete utani na mizaha kwenye issue inayohusiana na kusitisha uhai wa mwenzako; usitufanye vipofu, ina maana CD za shehe Ilunga zimetengenezwa ? Mnashindwa nini kumkamata huyo aliye zitengeneza na sheria kuchukua mkondo wake ? Je amezitengeneza kwa faida gani ? Jiulize kwa nini Waislam duniani kote ni problem ? Kwa nini kila sehemu mlipo lazima moto uwake ?.
 
Haya ndio matunda ya watawala dhaifu wasioitakia mema hii nchi. Tusubiri mengi zaidi.
 
wanotoa kashfa na vitisho kwa dini nyingine serikali hii inawafahamu hakuna siri yoyote swala je ni kwa nini wachochezi hao wanaokashifu dini nyingine na kufanya wanavyotaka hawashughulikiwi?

Mkuu naomba nkusahihishe kidogo; siyo kwamba serikali ya muishiwa dhaifu inawafahamu tu, bali ndiyo inayo wafadhili kwa kutumia kodi za wavuja jasho.
 

umesoma chanzo cha hiyo habari au umekurupuka.?
 
Tutaskia mengi sana zama hizi,kuwa muislam dunia ya leo ni kama vile kulishika kaa la moto kiganjani,kama una moyo mwepesi lazima utalitupa tuh kwa kufeel maumiv ya kuunguzwa kiganja,wapandikizaji wa chuki na wanaoshabikia chuki kwa kigezo cha kutupga vita waislam wanajionesha waz waz,ukweli utasimama siku moja...
 

Na wewe akili finyu. Ni mada gani au title gani nimeleta. Kawapigie simu editors wa gazeti la KIU YA JIBU namba zao zifuatazo:

+255783212440
+255767212440
+255713212440
 
Mungu aturehemu na kutusamehe watanzania na viongozi wetu wapewe ujasiri wa kufanya maamuzi sahihi juu masuala tete yanayoikabili nchi yetu
 
Mmeanza kuandika na kulalamaa hata ninyi ? Tatizo mko biased sanaaa na nchi hii...mnajiona kama ninyi ndio mnaotakiwa kula keki ya Taifa peke yenu...

Mkiambiwa huo mkataba wenu na serikali ( MOU ) ni tatizo kwa amani ya Nchi mnajidai ni wataalamu wa matamko..
 

mkuu, hapa hatuzungumzii madrassa wala mafundisho ya kipaimara. tunazungumzia uchochezi unaofanywa kwa makusudi na hawa watu ambao kila kukicha huzua mambo kuwa uislam ndo tatizo. ni ubinafsi ulioje huo. kwa nchi changamano kama tanzania hakuna uhalali wala sababu ya mtu kujiona ni bora kutokana na dini yake. hizo chokochoko mnazozianza madhara yake ni makubwa. hakuna dini yenye haki miliki ya kutawala tanzania milele
 

kwahiyo CCM ni dini gani sasa maana imetawala Tanzania kwa miaka 50
 
Na wewe akili finyu. Ni
mada gani au title gani nimeleta. Kawapigie simu editors wa gazeti la
KIU YA JIBU namba zao zifuatazo:

+255783212440
+255767212440
+255713212440

mkuu, naomba unionyeshe kwenye hilo bandiko sehem ambayo inaonyesha kuwa Cardinali Pengo ametishiwa maisha
 

sure mkuu. nyani haoni kundule. wanashindwa kutoa maboriti yaliyomo kwenye mboni za macho yao, wanahangaika kuwatoa vibanzi wenzao
 
sure mkuu. nyani haoni kundule. wanashindwa kutoa maboriti yaliyomo kwenye mboni za macho yao, wanahangaika kuwatoa vibanzi wenzao

kwani MOU si ilisainiwa na serikali ya CCM na sasa inatekelezwa na JK
 
Hakuna ugomvi wa kidini tanzania,wakristo na waislam tumeishi pamoja kwa amani miaka mingi mno,ninacho kiona mimi ni siasa za maji taka za viongozi wa kisiasa,chuki hii inayoonekana ni za kuundwa na viongozi wa kisisa lengo ikiwa ni kutugawa tusiwe wamoja kwa kuhofia kushindwa uchaguzi mkuu ujao 2015.
 
ccm inaendelea kuungwa mkono na hivyo kutawala kwa muda mrefu kwa sababu haina sera za kibaguzi

unajchanganya umesema kuna dini inaonekana kama ina hati miliki ya kutawala wakati ccm ndo inatutawala tangu uhuru je ccm ni dini gani
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…