Polisi

Polisi

kingfish

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
571
Reaction score
159
Jamaa: Heloo polisi hapo? Tafadhali naomba msaada kuna majambazi wanabomoa geti langu
Polisi: Aise pole huku hatuna gari kabisa jaribu kupiga kelele upate msaada wa jirani. Jamaa akasubiri kama sekunde 45 akapiga simu tena,
Jamaa: Hello polisi hapo, nilipiga simu kuwambia kuhusu majambazi, msije nimewatandika risasi na kuwauwa wote. Baada ya dakika mbili Land Rover 3 zikiwa na askari wenye bunduki zilikuwa zimezunguka nyumba yake
 
Jamaa: Heloo polisi hapo? Tafadhali naomba msaada kuna majambazi wanabomoa geti langu
Polisi: Aise pole huku hatuna gari kabisa jaribu kupiga kelele upate msaada wa jirani. Jamaa akasubiri kama sekunde 45 akapiga simu tena,
Jamaa: Hello polisi hapo, nilipiga simu kuwambia kuhusu majambazi, msije nimewatandika risasi na kuwauwa wote. Baada ya dakika mbili Land Rover 3 zikiwa na askari wenye bunduki zilikuwa zimezunguka nyumba yake

hiyo ndiyo tz ambayo baba mwanaasha anatujengea..!
 
Mbwa wa polisi wana akili zaidi kuliko polisi binadamu
 
Back
Top Bottom