kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
Jamaa: Heloo polisi hapo? Tafadhali naomba msaada kuna majambazi wanabomoa geti langu
Polisi: Aise pole huku hatuna gari kabisa jaribu kupiga kelele upate msaada wa jirani. Jamaa akasubiri kama sekunde 45 akapiga simu tena,
Jamaa: Hello polisi hapo, nilipiga simu kuwambia kuhusu majambazi, msije nimewatandika risasi na kuwauwa wote. Baada ya dakika mbili Land Rover 3 zikiwa na askari wenye bunduki zilikuwa zimezunguka nyumba yake
Polisi: Aise pole huku hatuna gari kabisa jaribu kupiga kelele upate msaada wa jirani. Jamaa akasubiri kama sekunde 45 akapiga simu tena,
Jamaa: Hello polisi hapo, nilipiga simu kuwambia kuhusu majambazi, msije nimewatandika risasi na kuwauwa wote. Baada ya dakika mbili Land Rover 3 zikiwa na askari wenye bunduki zilikuwa zimezunguka nyumba yake