Polisi yawaonya Viongozi wa Makundi ya WhatsApp. Yawataka kutoa taarifa kuhusu uhalifu utakaofanyika kundini

Kuna baadhi ya vitu ni kupoteza muda tu. Polisi hawana ubavu wa kujua kwenye kundi kunaongelewa nini unless members atoe siri. Serikali ijikite kwenye mambo yenye tija.
 
Wanatetemeka, wanaogopa nini hasa...
Hawajui kuwa Wasapu ipo hand to hand encrypted....?

Wadukue kama wanaweza nyambafu....

Wabunifu Wa huu mtandao walishajua saro iatawafatilia sana RAIA wake....
So wakatuwekea... SEKYURITI
 
Polisi mtusaidia maneno ya uchochezi ni yapi mbona mnatuchanganya ukitoa taarifa Simba kafungwa na Mbao mwanasimba naye atasema ni uchochezi mbona mnatuchanganya?
 
Hii serikali wageuze tu nchi iwe ya kidini sasa maana kipindi hiki yaani hawafanyi kitu bila kuleta viongozi wa dini mbele. Inaboa kinoma. Danganya toto

..hakuna kitu kinanikera kama salamu za kidini ktk shughuli za kiserekali au kisiasa.
 
Hili ni gumu kufanyika, kitu kinachoweza kufanyika labda ni kuifungia hii whazup isitumike hapa nchini; Hii ni kuwaambia Internet Service Provides (ISP) kufunga ports za hii whatup kwenye firewall servers zao.

Hii haichuki hata dakika 10 whatup inakuwa down completely. Port za kufunga ni TCP 443 (HTTPS) TCP 80 (HTTP). Kama sauti inatumika kwenye Whazup basi ports za kufunga pia ni 4244, 5222, 5223, 5228 na 5242

Ingawa inawezekana WhatsApp ikawa inatumia ports nyingine zaidi ya hizi. ila uwe makini wakati wa kufunga maana port zingine zinatumika kwenye application nyingine muhimu kama hii TCP 443 https na TCP 80 http.

Je ni lazima tufike huko? mimi naona waache wananchi waendelee kubadilishana mawazo kupitia group hizi, ni vigumu mno kwa dunia ya leo kumzuia mtu asipate mawasiliano.
Naona system going down mzee ahahahahhha washauri baba ila wajiandae kurudi tena kama kauli ya kufungia daladala za kwenda kariakoo then zimerudi tena mkuu umenifurahisha sana ahahahaha anaejua kaz yupo nyumban asiejua yupo ofisi za serikali
 
Back
Top Bottom