Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 824
Kawaulize gazeti la mwanahalisi maana walisema eti huwa anaonekana
Wanamuuluzia alipo RcWho is Ben Saanane. Wamempotezea kwa vile eao ndio wamemteka
Una akili chache sana,Who is Ben Saanane. Wamempotezea kwa vile eao ndio wamemteka
Nasikitika kusema hii ni moja ya thread za kipumbavu kweli kweli. Maisha ya mtu tena tunayemfahamu kama mwenzetu hapa JF na tumekuwa tukishirikiana naye kwa mijadala na majibishano yako hatarini na suala linashughulikiwa na Polisi sisi tunaleta kebehi kama watoto wa chekechea wasio jielewa?Nauliza kwa maana ni muda sasa kimya sijasikia kutoka upande wa chadema, ni kuhusu Mwanachadema Saanane ambaye Tundu lisu alituambia kwamba Serikali yetu imemteka na inamshikiria huku ikimtesa na akionyesha viambatanisho kwenye simu kama ushahidi! Hivi bado chadema mnamtafuta au kesha onekana?
Au ndo mmesitisha utafutaji na kuhitimisha kwamba ameshafariki? Na anaweza kufariki/kupotea na chadema kulichukuwa jambo hilo kirahisi rahisi, hivyo? Midomo ya chadema itakuwa imepatwa na nini?
saa9 kawekwa kimada, halafu mnataka tutumie akili kuhoji ujingaUna akili chache sana,
Una akili ya kukusaidia kubet na akili ya kukuonyesha ofisi za lumumba zilipo.
Jibu swali acha kulalamikaNasikitika kusema hii ni moja ya thread za kipumbavu kweli kweli. Maisha ya mtu tena tunayemfahamu kama mwenzetu hapa JF na tumekuwa tukishirikiana naye kwa mijadala na majibishano yako hatarini na suala linashughulikiwa na Polisi sisi tunaleta kebehi kama watoto wa chekechea wasio jielewa?
Inasikitisha sana, tena ukiona watu kama Lizaboni ambao ni wakongwe bado nao wanashirikiana na haya mapashkuna kukebehi maisha ya mtu.
Kwani tunavyo pambana humu kwa mawazo tofauti ni uadui unaopelekea kuombeana kifo au kutokujali maisha ya wengine? Tujue kuwa Ben kama verfied user anao ndugu na jamaa humu JF, jee wanajisikiaje na thread kama hizi?
Kwahiyo Mwigulu ametoa taarifa kua ndie anae au 7bodies ...loading...RuvuNaona hata mzee wake haongei tena na vyombo vya habari baada ya kukutana na Mbowe.
Dogo anaona soo kuibuka kutoka chimbo na yule mwanasheria mkurupuko naye aliingizwa mkenge sijui anajisikiaje?
Huwa sijibu maswali ya kipu.mbavuJibu swali acha kulalamika
Awe makini asiwe anaiga kuwa msukule. Wazee wa Gamboshi watapita nae kama wananawa vileNaona hata mzee wake haongei tena na vyombo vya habari baada ya kukutana na Mbowe.
Dogo anaona soo kuibuka kutoka chimbo na yule mwanasheria mkurupuko naye aliingizwa mkenge sijui anajisikiaje?
Ninakuunga mkono kwa hili. Watanzania wengine ubinadamu hawana kabisa. Huyu mleta thread ni mmoja wao.Nasikitika kusema hii ni moja ya thread za kipumbavu kweli kweli. Maisha ya mtu tena tunayemfahamu kama mwenzetu hapa JF na tumekuwa tukishirikiana naye kwa mijadala na majibishano yako hatarini na suala linashughulikiwa na Polisi sisi tunaleta kebehi kama watoto wa chekechea wasio jielewa?
Inasikitisha sana, tena ukiona watu kama Lizaboni ambao ni wakongwe bado nao wanashirikiana na haya mapashkuna kukebehi maisha ya mtu.
Kwani tunavyo pambana humu kwa mawazo tofauti ni uadui unaopelekea kuombeana kifo au kutokujali maisha ya wengine? Tujue kuwa Ben kama verfied user anao ndugu na jamaa humu JF, jee wanajisikiaje na thread kama hizi?
Atakuwa sio mtanzaniaNinakuunga mkono kwa hili. Watanzania wengine ubinadamu hawana kabisa. Huyu mleta thread ni mmoja wao.