PostGE2025 Polisi yakanusha Masai kuandamana Arusha

PostGE2025 Polisi yakanusha Masai kuandamana Arusha

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,398
Reaction score
14,514
Jeshi la Polisi limewataka wananchi kupuuza picha mjongeo inayosambaa kwenye vyombo vya habari yenye kichwa cha habari "Wamasai waanza maandamano kudai haki zao Arusha."

Polisi wamefafanua kuwa hizo zilikuwa sherehe za kimila za kabila la Wamasai za jando zilizofanyika Juni, 2025 ambapo vijana hufundishwa na kujengewa maadili.

1765276501619.png
 
Leo wapo standby kujibu kila picha au video ya mtandaoni. Kimsingi Gen Z wameshinda katika hilo.

Taifa lipo kwenye taharuki na kila mtu anaandamana kwa namna yake.
 
😀 😀 😀 😀
Hii ni leo tu, ikifika kesho hali sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom