Polisi yakamata wanafunzi UDOM.

CHIPANJE

JF-Expert Member
May 1, 2011
321
53
Gari ya polisi imetinga katika chuo kikuu cha UDOM-COED majira ya saa 6 mchana na kuwakamata wanafunzi watano lakini bado kisa cha kukamatwa hakijafahamika.

Wanafunzi hao ambao wanaingia kwenye ma block na askari dalili inayoenesha kuwasaidia askari ili kupatata watuhumiwa wengine.

Tutajulishana mambo yatakavyokua punde itakapofahamika nini sababu za kukamatwa kwao.
 
Back
Top Bottom