Polisi wetu wanazo KPIs.? Zipo smart?

Polisi wetu wanazo KPIs.? Zipo smart?

Twin Tower

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
4,906
Reaction score
7,125
Nimetafakari na kujiuliza kama jeshi la polisi lina utaratibu wa upimaji utendaji kazi wa askari wake.

Vigezo vya kumpandisha cheo ni muda aliohudumu ama afanye tukio tu?

Naomba kufahamu, pengine tunawaonea bure tu kulalamika mambo yetu hayaendi yanapofika kwao.
 
Back
Top Bottom