Polisi waweka ulinzi mkali Dodoma

Nimecheka sana hii picha,kwa hiyo yule pale juu ya ukuta ndo nani kiulinzi/usalama?
 
Marekani wamestarabika sana.
Hapa kwetu panya road na vibaka wengi, lazima viongozi wetu walindwe kwa nguvu kubwa, wasije dhuriwa.
 
Hivi hakuna Bavicha alietia mguu kujaribu zali atupe mrejesho juu ya kile kilichomtokea?
 
Ina maana Bavicha inaogopewa na watawala kiasi hicho hadi kufanya majeshi na vikosi vya usalama vihamie Dodoma?

Kama ni hivyo basi Bavicha ni kiboko na wanastahili kuheshimiwa na kupewa nishani ya ushujaa.....
Tatizo sio Bavicha, bali wehu wanaoweza kutumia kivuli cha vurugu za nyumbu. Mbona ni jambo dogo sana? Kweli kwa akili za kawaida, askari watandw kuwazuia Bavicha? Bavicha ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…