Naona alitaka walindwee na hawa vibaka walinzi wa CHADEMA.Waangalie walinzi wa CHADEMA wakiwa wamevaa miwani yao ya kuchomea magrill ya chuma.Halafu angalia yule aliyekaa juu ya ukuta kujifanya mlinzi hata ukipuliza upepo tu anadondoka.Hawa ndio walinzi wa CHADEMA wacheck