Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Naye Mo kaona isiwe noma, kaamuwa kujifungia na kupiga tizi home tu! isije ikawa yale yale mwaya...🙂😀😎
Hivi kweli na kijifua kwote huku Bw. Mo alishindwa kabisa kuwapa vitasa vya Kisingida wale wahuni?!
Mkuu Angalia kwa Makini, Avatar ipi ilikuwepo mwanzo?Mkuy mbona umebadilisha avatar picha yako
Una maana gani kwa hilo neno "TUNANEEMEKA"Hapa utakuta jamaa hata passport kanyanganya na hatakiwi kutoka nje ya nchi. Huu ulinzi wanaosema ni wakumbana asiseme wala asiongee na vyombo vya habar kile kilichomkuta.
YAN TUNANEEMEKA KULIPA KODI ILA ZINATUMIKA KUTUNEENESHA PIA.
SAWA.. ngoja tuone na kwa KAMANDA LISU atakapowasili kutoka ughaibuni.. kama mtamuwekea ulinzi au ndio mtalianzisha upyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!Baada ya sakata la kutekwa kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemuongezea ulinzi mfanyabiashara huyo
View attachment 910312
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa katika mahojiano yake na www.eatv.tv amesema kuwa wamemwongezea ulinzi mfanyabiashara huyo katika kipindi hiki ambacho bado wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio.
"Katika kipindi hiki ambacho bado tunaendelea na uchunguzi wa tukio la kutekwa kwake, tumemuongezea ulinzi", amesema Mambosasa.
Mo Dewji alitekwa Alfajiri ya Oktoba 11, katika hoteli ya Colosseum iliyopo Osterbay jijini Dar es salaam na kupatikana baada ya siku tisa katika maeneo ya Gymkhana alikotelekezwa na watekaji, huku pia wakitelekeza gari aina ya Toyota Surf walilolitumia likiwa na silaha kadhaa za moto.
wacha wabane tu lkn utelezi ukizidi watainama tyuuuuuuWanajaribu kuficha aibu ila haifichiki
mkuu JIWE je umiridhika na utendaji wa MAMBOZAMANII??? jee katika hii filamu iliyozinduliwa juzi ''MR. MO'' je amecheza vizur sehem yake?Baada ya sakata la kutekwa kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemuongezea ulinzi mfanyabiashara huyo
View attachment 910312
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa katika mahojiano yake na www.eatv.tv amesema kuwa wamemwongezea ulinzi mfanyabiashara huyo katika kipindi hiki ambacho bado wanaendelea na uchunguzi kuhusiana na tukio.
"Katika kipindi hiki ambacho bado tunaendelea na uchunguzi wa tukio la kutekwa kwake, tumemuongezea ulinzi", amesema Mambosasa.
Mo Dewji alitekwa Alfajiri ya Oktoba 11, katika hoteli ya Colosseum iliyopo Osterbay jijini Dar es salaam na kupatikana baada ya siku tisa katika maeneo ya Gymkhana alikotelekezwa na watekaji, huku pia wakitelekeza gari aina ya Toyota Surf walilolitumia likiwa na silaha kadhaa za moto.
Hata mimi nataka ulinzi zaidi natishiwa kutekwa
Hayo yamesemwa na Kamanda Mambosasa .
Chanzo - Mwananchi