Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,470
TRA wamewashauri sadaka zilindweLeo kwa mshangao nimemuona askari polisi akiwa madhabahuni anamlinda mchungaji huku ibada ikiwa inaendelea. Ibada hiyo inafanyika kanisa la Pool of Sloam mbezi beach na kurushwa moja kwa moja na Star tv. Ndio nauliza jambo hili ni sawa?....Source Star tv muda huu!