Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,203
- 3,008
Wakuu katika kesi ya Mbowe mshitakiwa wa kwanza Adomo aliielezea mahakama kuwa
Alimsikia afande Kingai akiwaambia Mapolisi wake kuwa wamuwekee madawa ya kulevya na siraha
Je Kama shutuma hizi ni za kweli hawa Mapolisi wanatoa wapi hizo dawa za kulevya na siraha wanazo wabambikiza watuhumiwa.
Na je Kama mahakama ikiamua kuwa ushahidi alioutoa Adomo mahakamani ndo wa kweli kwanini kina Kingai wasishitakiwe kwa kuwa na dawa za kulevya na siraha haramu.?
Karibu
Alimsikia afande Kingai akiwaambia Mapolisi wake kuwa wamuwekee madawa ya kulevya na siraha
Je Kama shutuma hizi ni za kweli hawa Mapolisi wanatoa wapi hizo dawa za kulevya na siraha wanazo wabambikiza watuhumiwa.
Na je Kama mahakama ikiamua kuwa ushahidi alioutoa Adomo mahakamani ndo wa kweli kwanini kina Kingai wasishitakiwe kwa kuwa na dawa za kulevya na siraha haramu.?
Karibu