Kwan alipata matibabu bila pf3?Kwanza waombeni radhi polisi, pili kama unataarifa za huyo mhalifu kwa maana ya picha yake na mahali alipo toa taarifa na siyo kuwalaumu polisi wakat na wao wamesema tuwape taarifa,
Utaratibu wote ulizingatiwa na huyo kijana alikuwa ni kinyozi Tabata Sanene kijana safi, mcheshi na anayejali. Inasikitisha sana maana hataweza kuona tenaKwan alipata matibabu bila pf3?
Asante mimi nilishamblock Huyu mpumbafu edy huwa anaongea uchafu kabisa hata asilimia1ya ubongo wake hatumiiMsengerema mkubwa wewe!
Tumia akili kidogoWanaume wa dar Pumbavu kabisaa ndio maana Mh Magufuli kaamua kuhamia Dodoma kwa wanaume wenzake! Haiwezekani jamaa anapigwa mpaka kutobolewa macho nyie mnaangalia tu
Hao jamaa wa hivyo Wapo NA maranyingine wanajulikana hadi makwao...Lawama ziende kwa polisi lakini lawama nyingi zaidi ziende kwa wakazi wa buguruni na wafanyabiashara walioshuhudia matukio ya huyo Scorpion bila kuchukua hatua yoyote ni suala la aibu kusikia huyo kiumbe bado yupo hai hadi leo
Povu la nini sasa,kwani ukichangia bila ya kutukana hutaeleweka mkuu?Sasa wewe unalaumu polisi! mtu kama huyo mwenye dhamira ya kuua hadharani na wewe mwananchi una mtazama tu.halafu unakuja kulaumu polisi huku mtandaoni,sasa subiri aje akufanyizie na wewe na kula hiyo 0713 akili ndo itakukaa sawa.
Dada ifikie hatua nyie wanawake mchukue hatua maana kaka zenu wameshindwa, inasikitisha sana mtu hadi anatobolewa macho wanaume wenu wamekaa kukatwa kucha salon. Shenzytype kabisaWengi wetu ndo tumejua au kufahamu baada ya GEA kurusha kwenye kipindi, Na usikute wazembe ni sisi wananchi hivi kweli wananchi mnashuhudia hayo MNASHINDWA KUREPORT POLISI, mana kama kuna aliwahi kureport na hakuna kilichofanyika ndio tulaumu, isije ikawa wananchi wenyewe wamekaa kimya hawalizungumzii hili n.k. Lakin kama LIMESHAWEKWA WAZI BASI HANA MUDA MREFU ATAKAMATWA TU. Pole kwa walofikwa na maafa na Nduli huyu.
Wanaume wa cku iz chips zimewaharibu wamekuwa waogaKilichonisikitisha zaizi ni wanaume wa dar kuanzia madereva bodaboda mpaka raia na wafanya biashara kushuhudia jamaa anamchoma visu mtu hadharan anambeba anaenda kumtupa barabarani anamtoa macho, wote wanatazama hakuna anaye thubutu hata kusema neno eti wanamuogopa ukisema kesho anakurudia.
Yani wanaume zaidi ya 40 wanamuogopa kibaka mmoja ambaye hana hata bunduki ana visu.
Sasa hawa ndiyo kweli wangeweza kujenga ukuta mbele ya askari polis wenye vitu vya ncha kali?
Bavicha at work, negative masaa 24
raia anayeyaweza mambo ya utataAchukuliwe hatua na nani kwa mfano?
Mkuu, na wewe ni mwanaume wa huko huko Dar?Juzi kuna teja kabishana na abiria wa kwenye daladala baada ya teja kumchafua abiria kwa kulazimisha kupitisha mizogo dirishani. Baada ya mabishano kidogo teja kaingia kwenye daladala na kuanza kumkata jamaa na kiwembe kwenye mikono. Tukio hilo limetokea abiria wakishuhudia na teja hakukimbia. Kama si watoto kwenye gari nilitaka kumshukia yule teja hakyamama.
Demu wa Dar anachoangalia yeye ni mwanaume anayejua kutumia smartphone, anayejua bei zake, anayejua viwanja na anayejua kuendesha magari ambayo ni Auto tu basi....sasa wewe chukulia poa kutembea kwa miguu kutoka red cross hadi Posta au mivinjeni hado bandari, au majumba sita hadi banana au Mikadi hadi Chadibwa halafu mademu wa Dar wakuone uone jinsi utakavodharaurika mjini. Au wakuone unaenda Posta na ufunguo kwenda kuchukua barua ulizotumiwa watakushangaa sanaNa nyie mademu wa Dar, hivi mnajiamini kabisa kabisa kuongozana na hivi vijidume vya Dar, mkajiamini uko na mwanaume kweli! Yaani ukiwaona wanavyojazana Jim utadhania ni wakakamavu, kumbe ni misponji tu, wanawadanganya midemu yao eti kifua... Te te te teeh! Siamini kama wanafanana na sisi hawa jamaa, au ni jinsia ya tatu Mungu anatuletea mubashara ili tuandike kwenye vitabu vyetu.. Avunje macho mtu ninayemfahamu nikiwa namuona hivi hivi, na kisu, thubutuuu!! Haiwezekani... Manati ya mzungu kweli hapo sikai, ila kisu!
Kwa hiyo wanaoangalia mwenzao anatobolewa macho wao ndio wana akili? Kweli wewe mpunga..Tumia akili kidogo
Nyumbu za mikoani bwana, mmeona ndio kiki yenu... Hebu tuondoleeni hiyo midomo kunuka na mishombo hiyo..Kilichonisikitisha zaizi ni wanaume wa dar kuanzia madereva bodaboda mpaka raia na wafanya biashara kushuhudia jamaa anamchoma visu mtu hadharan anambeba anaenda kumtupa barabarani anamtoa macho, wote wanatazama hakuna anaye thubutu hata kusema neno eti wanamuogopa ukisema kesho anakurudia.
Yani wanaume zaidi ya 40 wanamuogopa kibaka mmoja ambaye hana hata bunduki ana visu.
Sasa hawa ndiyo kweli wangeweza kujenga ukuta mbele ya askari polis wenye vitu vya ncha kali?