Polisi wanajuaje bei za madawa ya kulevya?

Polisi wanajuaje bei za madawa ya kulevya?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Polisi mara nyingi wakikamata watumiaji au wauzaji wa madawa ya kulevya hutaja thamani na bei ya madawa hayo kwa gram au kilogram. Hii biashara ya madawa haijahalalishwa na inafanyika kwa usiri mkubwa ,Je wao huwa wanajuaje bei halisi na kufanya tathmini?

Na yale madawa yanayokamatwa huwa yanaenda wapi?
 
Madawa mengi ya kulevya hutumika pia kwa ajili ya tiba..maybe ndipo wanapopatia hizo bei
 
Swali la kipuuzi kuwahi kulisikia nini maana ya intelijensia?

Polisi wanawajuaje majambazi si jntelijensua inafanya kazi kama mimi mlala hoi najua bei ya ngada sembuse serikali isijue?
 
Huwa wanaziuza wanazozikamata. Bei wanaijua wakiingia sokoni.
 
Back
Top Bottom