njoo na lissu mahakamani aulize maswali hayo,,, lakini wewe huwez,,, na huyo lisu ataumbuka tuu
Wamekoswa kazi.
mrudishwe nyuma kwani mshafika mbele? kukatishwa tamaa ya kufanya nini? kwani mnatamani nini mpaka iwe mnakatishwa tamaa?View attachment 177213
kwanini kadi zifunikwe??? Hiz ni kadi mpya kabisaaaa na huu ni wizi wenye lengo la kuturudisha nyuma na kutukatisha tamaaa.
kwanini mwiibe vifaa vya uenezi???
tuwaulize kama chama wanamiradi gani mikubwa yakuweza kutushawishi kwamba hawataiba kama wengina.... tatizo kuongozwa na matukio tu hata yasiyokuwa na tija kwa wananchi ....... wajipange upya... twende bwana tukajadili mambo yenye ukweli na uhalisia rafikitatizo maswali yangu wanakimbia, nawaambia njooni kwa wananchi, mbona mnapambana kwenye mitandao, na unakuta waanzisha mada wengine ni vijana wa ccm, wanabaki kutukana, mimi si mwanachama wa chama chochote ila nasikitika hizi siasa za maji taka zilivyo. watanzania si wajinga kwa sasa kiasi hiko, mtu anakuja kunifananisha na lissu badala ya kujibu hoja. twende mwaya kule kwetu kwenye mambo yalee kule.
maneno yako ni kama maneno ya Kitila je ndo wewe? Kama ni wewe siasa huwezi au fanya sihasa.Siasa za chuki hizi ,mhhh! kazi kweli kweli.
Mwanachama wa CHADEMA, Thobias Sebastian anasakwa na jeshi la polis kwa tuhuma za kuiba vifaa vya uenezi vya ACT TANZANIA kadi na bendera. Ameiba vifaa hivyo na kuvipeleka kwenyue ofisi za chadema. Amefanya hivyo huku akidanganya umma kwa kusema kadi hizo zimerudishwa na wanachama, kadi gani ya kurudishwa haina jina, picha na sahihi ya afisa wa chama?
Huu wizi umefanywa kwa makusudi ili kukwamisha shughuli za uenezi wa chama chetu, na ikumbukwe kutengeneza kadi na bendera ni gharama, na kwa kiasi fulani huyu Bwa Thobias ametukwamisha kwani zile kadi zilihitajika sana Mbeya na wengi wamekosa kadi kutokana na kitendo chake hiki kishetani.
Kiogozi wa ACT mkoa wa Mbeya alilipoti polisi na ametoa taarifa kwenye vyombo vya habari na gazeti la JAMBO LEO LIMEANDIKA SEHEMU YA TAARIFA HIYO.
View attachment 177211
View attachment 177212
IFUATAYO CHINI NI SEHEMU YA TAARIFA YAKE KWA UMMA.
Dotto C. Rangimoto rudisha fedha za michango ya wanachadema mtandao Dar, au na wewe uchukuliwe RB?
Huyu pimbi dotto analeta utani kwenye jiji la cdm,mby huyo anayewatuma pamoto kuishi sasa nyie vitoto mnapaweza kweli? Au humkuambiwa na kandoro kuwa mby si jiji la kitoto? Hicho kikundi lazima kijifie kabla ya kuanza kutambaa
Tulimuona kada wa CHADEMA na siyo kamanda wa CHADEMA(CCM hoyee)akirandaranda karibu na ofisi baadae tukamuona akitoka ndani ya ofisi akiwa ana kimbia huku akiwa ameshika kadi mkononi.Kwa kuogopa kuharibu sherehe hatukuweza kumfuatilia tulikwenda kutoa taarifa kituoni.Hii habari ni vigumu kuiamini bila ya kuwa na roho ya usaliti.Waliogopa kumkimbiza mwizi waliyemuona akiwa ameshika kadi mkononi na walikuwa na uhakika kuwa zile ni kadi za chama chao na zimeibiwa.Badala ya kumkimbiza mwizi na kumkamata pamoja na vielelezo vyake wao waliogopa kuharibu sherehe ila kwenda kutoa taarifa kituoni ambako wangeweza kumpeleka mwizi na vielelezo vyake siyo kuharibu sherehe.ACT wasizuge huyu wanaye muita kada wa CHADEMA hakuiba hizo kadi kilichopo ni kwamba huyo kada ACT(kamanda wa CHADEMA)alipewa kadi kama mwanachama mpya na alipewa kwa makubaliano ya kwenda kuwatafuta wanachama wapya lilipofika swala la utekerezaji kamanda akawaingiza chaka.
Chadema acheni wizi mtachomwa moto...!
Chagadema kweli maji ya shingoo! Yaani hiyo ndio njia ya kupambabana ACT TZ mmekwish.[emoji547]Nyie ACT hamna ajenda nyingine zaida ya CHADEMA.?
Nyie ACT hamna ajenda nyingine zaida ya CHADEMA.?
Mwanachama wa CHADEMA, Thobias Sebastian
Rangimoto, mbona unaharibikiwa, sio yule ninayemfahamu.njoo na lissu mahakamani aulize maswali hayo,,, lakini wewe huwez,,, na huyo lisu ataumbuka tuu