comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,947
Leo katika mihangaiko yangu na kigari changu cha zamani nilisimamamishwa na polisi wa usalama barabarani kwa mbwebwe zao.
Akaniuliza kulikoni na kama nilikuwa na shida yoyote. Nikamjibu niko sawa. Akaniuliza mbona umewasha taa mchana kweupe hivi.
NIikamjibu sikujua kama taa zilikuwa zinawaka. NilIpo angalisha kiwasha taa nikaona kweli nilikuwa nimewasha.
Akaniambia tena naona kama taa yako ya kulia ina chongo- ni mbovu. Nikamwambia sikuwa najua hivyo. Akaniagiza kwa vile ninaenda mjini nikairekebishe mara moja. Nami pale pale nikampigia simu fundi wangu aje kazini kwangu airekebishe.
Nikakumbuka mukasa wa Mh. Rais- Mama Samia- naona somo lile kwani wewe nani- MIE SAMIA lilieleweka
Akaniuliza kulikoni na kama nilikuwa na shida yoyote. Nikamjibu niko sawa. Akaniuliza mbona umewasha taa mchana kweupe hivi.
NIikamjibu sikujua kama taa zilikuwa zinawaka. NilIpo angalisha kiwasha taa nikaona kweli nilikuwa nimewasha.
Akaniambia tena naona kama taa yako ya kulia ina chongo- ni mbovu. Nikamwambia sikuwa najua hivyo. Akaniagiza kwa vile ninaenda mjini nikairekebishe mara moja. Nami pale pale nikampigia simu fundi wangu aje kazini kwangu airekebishe.
Nikakumbuka mukasa wa Mh. Rais- Mama Samia- naona somo lile kwani wewe nani- MIE SAMIA lilieleweka