Hawa watu kwa nini wasitoke na wana misingi mikubwa ya biashara kama hapo kariakoo unakuta mtu kapanga vijora si chini ya millioni 5 na Ushee ukiangalia biashara yake unajua kabisa huyu kodi ya Frem hashindwi kulipa
Hawa watu kwa nini wasitoke na wana misingi mikubwa ya biashara kama hapo kariakoo unakuta mtu kapanga vijora si chini ya millioni 5 na Ushee ukiangalia biashara yake unajua kabisa huyu kodi ya Frem hashindwi kulipa
Picha ya ndege polisi wamekuja usiku wakachoma moto meza zote za hawa machinga, mbinu hii hii ifanye kazi kwa dar es salaam hawa watu wamekuwa kero mno mtaani