Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Ingekua ni kwetu, wangeingiza vifaru barabarani na ndege za kivita.
Hawa polisi wa kenya wana rekodi nyingi mbaya! Ukiacha hiyo uliyosema, pia wanashika nafasi ya tatu duniani kwa askari wake kuua wananchi, wakitanguliwa na USA na SA.kumbe ile orodha iliyosema jeshi la polisi la Kenya ni la tatu kutoka mwisho duniani kwa udhaifu ilikuwa kweli. naanza kuelewa sasa.
Lol! Haya matukio sio mazuri! Mungu atunusuru.Polisi wajinga sana hawa haijapata onekana, wanawapiga risasi wafuasi wa nasa bure tuu, hivi hii miili wataikula ama nn! Yaani hii nchi inachefua wakati mwingine!!View attachment 632594View attachment 632595View attachment 632596
Hebu wape uone kama hawatakulaani!!!Mbona CHADEMA awalaani?
Cc Babati
Tatizo unaliona kwa Raila n.a. hulioni kwa Uhuru/Ruto n.a. Tume?Kwa hiyo sababu anajua ana support ya watu wengi ni iwe kigezo cha kuleta machafuko...kisa uongozi....kwa nn asitumie huo umashuhuri wake positively ili watu wasipoteze maisha bila sababu za msingi...sisi miafrika sijui tunanatatizo gani tu...??Huku wakina Kagame wanaua wapinzani, ukienda Zimbabwe hakueleweki, Tz chokochoko zimeanza za ajabuajabu, Burundi ndo shida tu, Sudan ya Kusini ndo vita vya nje nje....Kenya ndo akili zote Odinga anacontrol...HAKUNA mtu wa kushauri mwenzake..East Africa inawakati mgumu sana
Vikao vyao vya wakuu ni kuelekezana namna ya kubaki madarakani kwa gharama zozote, ikiwemo damu na kuvunja katibaTumelaaniwa.....au ni logo au kitu gani sijui.
ndo ujue wanasiasa si ndugu yakochadema wenzangu wanao sapoti serikali ya uhuru njooni hapa tu comment ushabiki
Aibu kubwa kwa Chadema.
lisu yupo Kenya kwa matibabu; hatujamsikia akilikemea hili Katika zile audio clips anazozitoa Mara kwa Mara. Au ni kwakua wanaomuangalia huko ndio hao wanaotenda huo unyama.tena aibu kama chama pinzani kinacho lalamikia ubovu wa mamlaka na matumiz ya nguvu nyingi kwa upinzani na utawala wa piga risasi na kuzuia maandamano,na nukuu kauli ya lisu-je mlie kua mna muita baba wa democrasia mmemuona?mlio kua mkipost picha zake kwa unafik wa ali ya juu mme muona ?wembe unao mnyoa raila na wafwasi wake sisi makamanda hata tusipo tia maji vichwa vyetu uta tunyoa tuu,sasa kama kweli cc ni watetea haki tumkashfu uhuru kwa ujinga huu,ila kama cc ni wa fata siasa za mitandaoni basi tuondelee kusifia uhuru ila damu zinazo mwagika inchini kenya harufu yake ita tukaa vifuani na puani maaishaa-chadema tupooo,
tujifunze kukoselewa pale tulipo kosea kwa mafunzo mema cc si malaika
lisu yupo Kenya kwa matibabu; hatujamsikia akilikemea hili Katika zile audio clips anazozitoa Mara kwa Mara. Au ni kwakua wanaomuangalia huko ndio hao wanaotenda huo unyama.
Hawa walijua hawajui, si eti walikufa wakipigania baba zao mbili ni wahalifu na waharibifu wa Mali ya umma. Sasa wamerudi nyumbani maiti wakati Raila amerudi nyumbani kwake kwa familia yake akiwa salama.Polisi wajinga sana hawa haijapata onekana, wanawapiga risasi wafuasi wa nasa bure tuu, hivi hii miili wataikula ama nn! Yaani hii nchi inachefua wakati mwingine!!View attachment 632594View attachment 632595View attachment 632596
Polisi WANAWARUSHIA MAWE RAIA, HUO NI UHUNI A HALI YA JUU.
KUSHAMBULIA MAGARI YASIYO NA SILAHA HAKUBALIKI.
KENYATTA MUST STEP DOWN
Umejuaje kuwa Raila ni govinda, alikuonyesha chumbani?Pumbafu kabisa! kenyatta a stepdown kwa lipi? Raila mpaka aende jando ndiyo atakuwa Rais bila hivyo atahangaika sana na hilo govinda lake