mluga
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 676
- 215
JAmani mbona mwaenda mbaali saaana ,mwafika Afghanistani ,yaani hayo bado hayajashinda hata yale ya Unguja ,na zaidi kule Pemba 2001 , Zenji ni kawaida na sasa imekuwa ni mazoea na karibu itakuwa kama mchezo,si unaona Palestina kule imekuwa kama mchezo kati ya raia na majeshi ya Israel ,, Yaani mpalestina anaweza kutafuta japo korokochi na kumchokoza jeshi wa Izrael ili wapate kutimuana na ni kawaida ,wapalestina wanajua kuwa probability ya kifoau kujeruhiwa ipo ,huwa wameshaondoa hofu ,ndio karibu wazenji watafikia stage hio.
Poleni sana ila mtazoea tu.
Mwiba,
Tunaongelea watu jasiri hapa, wazenji? kwa afya na ujasiri gani wanao mpaka waweze kupambana?