PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Taarifa nilizo zipata muda huu zinasema katika mkakati wa kuhakikisha ccm inashinda arumeru kwa gharama yoyote polisi wa jijini hàpa wamepigwa marufuku kufika arumeru kwa tuhuma kwamba polisi wa arusha karibu wote ni wafuasi wa chadema.
Agizo hilo lilifikiwa katika kikao cha kamati kuu ya ccm kilicha fanyika jijini hapa kwaajili ya kumpitisha mgombea wa chama hicho,ndipo lilipo tolewa agizo la kuagiza kikosi maalum ambacho kitakuwa na mchanganyiko wa kikosi cha JKT na FFU watakao valia sare za FFU kutoka mikoa mingine kwa maelekezo maalum kwaajili ya tutekeleza agizo hilo kikamilifu.
CHANZO: POLISI RAFIKI YANGU ALIYETOLEWA MWANZA KWAAJILI YA MPANGO HUO.
Agizo hilo lilifikiwa katika kikao cha kamati kuu ya ccm kilicha fanyika jijini hapa kwaajili ya kumpitisha mgombea wa chama hicho,ndipo lilipo tolewa agizo la kuagiza kikosi maalum ambacho kitakuwa na mchanganyiko wa kikosi cha JKT na FFU watakao valia sare za FFU kutoka mikoa mingine kwa maelekezo maalum kwaajili ya tutekeleza agizo hilo kikamilifu.
CHANZO: POLISI RAFIKI YANGU ALIYETOLEWA MWANZA KWAAJILI YA MPANGO HUO.