Polisi: Tunachunguza sakata la Dada yake Polepole

Polisi: Tunachunguza sakata la Dada yake Polepole

Kwa nguvu waliyokuwa nayo hawa wasiojulikana ipo siku watakuja kumteka bibi mkubwa wangu,maana jeshi la polisi kila siku huwa linawagwaya hasa Kamanda Murilo
 
Professionalism ya hao jamaa inashawishi watu kuwa wahalifu.

NB:Tujitahidi kutumia teknolojia majumbani hasa kwa ajili ya kuimarisha ulinzi.
 
Daa kama karudishwa basi ashukuriwe Mungu!
Nazani hawa walikurupuka wanasahau kama nayeye dada anaye Kaka ambaye yupo humo muda mrefu, akiyafunkunyua hapatakalika😂😂
 
Police wanajichunguza hii kazi Sana, ukiwa msemaji wa polisi lazima ujitoe ufahamu
 
Wamemuogopa polepole.maana aliwaambia kabisa kama wamezoea michezo yao ya kishetani ya kuteka watu itakuwa mwisho wao wa kuteka.Kasema anafahamu Siri zao zote na atazifunua zotee kama hawatamrudisha dada yake ndani ya masaa 12 na ni kweli wamemrudisha
 
Back
Top Bottom