GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,768
Nafikiri magreat thinkers leo mmechemsha, lazima mfahamu kuwa si polisi
wote wanaohusika na hayo maji washa, lazima mtambue kuwa si polisi wote
wanafurahia kinachotokea. Wengine humu ni waandishi wa habari mnataka
kuniambia habari zote zinaandikwa vile zinavyopelekwa? Nyingine si zinahaririwa
kiasi cha kuharibu hata maana? Nyingine si zinakataliwa kabisa?
Hebu tuungane na hawa ndugu zetu polisi ndio watakaotusaidia mbele ya safari
hamuoni kama kila Mtanzania kachoka?
Karibuni ndugu zetu, karibuni Jamvini huenda hao wanaopost lawama ni MAGAMBA
waliopo JF wanataka kuwakatisha tamaa.
Tunahitaji msaada wenu ninyi ndo mmeshika silaha, kama una rafiki yako mwanajeshi
please mtonye kwani nao wanadhulumiwa sana!
wote wanaohusika na hayo maji washa, lazima mtambue kuwa si polisi wote
wanafurahia kinachotokea. Wengine humu ni waandishi wa habari mnataka
kuniambia habari zote zinaandikwa vile zinavyopelekwa? Nyingine si zinahaririwa
kiasi cha kuharibu hata maana? Nyingine si zinakataliwa kabisa?
Hebu tuungane na hawa ndugu zetu polisi ndio watakaotusaidia mbele ya safari
hamuoni kama kila Mtanzania kachoka?
Karibuni ndugu zetu, karibuni Jamvini huenda hao wanaopost lawama ni MAGAMBA
waliopo JF wanataka kuwakatisha tamaa.
Tunahitaji msaada wenu ninyi ndo mmeshika silaha, kama una rafiki yako mwanajeshi
please mtonye kwani nao wanadhulumiwa sana!