Polisi tumedhulumia posho za tamasha!

Polisi tumedhulumia posho za tamasha!

MR. DRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2011
Posts
637
Reaction score
122
Sisi polisi wa kituo cha oysterbay tunasikitishwa uongozi wa polisi kimkoa kinondoni kwa kutudhulumu posho zetu za ulinzi wa tamasha la novemba 26 pale leaders club.

Katika tamasha hilo lililohudhuriwa na msanii fabolous kutoka marekani, polisi tuliahidiwa kulipwa Tshs. 15,000/= kwa kila mmoja.

Tumefuatilia kwa waandaaji wa tamasha tukaambiwa kuwa fedha zimeshatumwa kwa uongozi wa polisi kinondoni.

Inakuwa vigimu kufuatilia moja kwa moja kwa kamanda wa polisi mkoani hapa kutokana na taratibu za kijeshi, lakini tunajua hii ni haki yetu.

SIYO MARA YA KWANZA KUDHULUMIWA FEDHA KWENYE OPERESHENI KAMA HIZI, MARA KWA MARA VIONGOZI NDIYO WAMEKUWA WAKIJIPENDELEA POSHO ZA ASKARI WANAOTESEKA NA KAZI, IMEFIKA MAHALI SASA TUMECHOKA.

Tunaomba uongozi wa polisi makao makuu itusaidie askari tunaofanya kazi huku wengine wakifaidi jasho letu.

Source: BARUA YA POLISI OYSTERBAY, DAR
 
Chagueni moja kuwaunga mkono wananchi au mijizi mibosi ya maafande, tambueni na kuheshimu harakati za kudai haki popote tz.
 
Acha wawadhurumu.nyie vijana wadogo ndio mmeacha mama zenu vjijin wanateseka.mkipewa ajira basi mnawanyanyasa ndugu zenu.wanasiasa wakisema uongo nyie mnawashambulia kwa marungu.kumbuka nyie madogo<mapongo> ndiyo mnathhbitishwa kazin baada ya miaka 12.kufukuza kwenu ni ndan ya siku 2 kibarua hauna.mko tayari kwa mabadiriko?mmesoma makala ya 'kalamu ya mwigamba' had sasa mmempeleka mahakamani kwa kusema ukweli? Akili za kuambiwa changanya na zenu! Pole!
 
miafande ya kitanzania inasikitisha sana ya endelee kudhulumiwa hivyo hivyo kwa kuwa huwa hayana utu hata kidogo...

RIP EDDY Clux.
 
boys dont cry, you have guns in your hands and hatrage in your hearts Take action...NOW!
 
Nimefurahi kusikia mmezulimiwa Posho zenu na Mafisadi ambao sisi wananchi tunawapinga kwa nguvu zote nyinyi ndio mmmekuwa vibaraka wa Mafisadi na kuwalinda. Nenda kalalamike kwa mabosi wenu pumbafuuu nyie mnatupiga mabomu na kutumwagia maji ya kuwasha. Tunapopigania haki zetu pia tunakuteteeni na nyinyi. Mkinyimwa Posho au Mishahara sisi hayatuhusu, mtajuana na mafisadi wenu huko huko. Pumbafu nyie vibaraka wa Mafisadi, na mtalala sana kwenye nyumba za mabati kama hamtobadilika tabia zenu za kutumiwa na Mafisadi kupiga wananchi
 
posho 15,000/- tu kwa siku???.............................. halafu masikini ya Mungu hata hamkuipata!!!!............... teh teh...................... mlisikia habari toka dodoma??.......................
 
Naisi mtajifunza.haya ni maoni ya watz kuhusu nyinyi. Anza harakati za kuelimishana kuhusu haki zenu,haki za raia. Mkijua haya ukomboz wa kweli tz tutaupata.msifurahie sehemu kunapotokea mgomo/maandamano eti mkitumwa mnaenda kuiba pesa,tv, radio. Unamuibia mlala hoi ambaye ni choka mbaya kama wewe. Jipange kwa 2015 ili tulete mabadiriko ya kweli
 
Sisi polisi wa kituo cha oysterbay tunasikitishwa uongozi wa polisi kimkoa kinondoni kwa kutudhulumu posho zetu za ulinzi wa tamasha la novemba 26 pale leaders club.

Katika tamasha hilo lililohudhuriwa na msanii fabolous kutoka marekani, polisi tuliahidiwa kulipwa Tshs. 15,000/= kwa kila mmoja.

Tumefuatilia kwa waandaaji wa tamasha tukaambiwa kuwa fedha zimeshatumwa kwa uongozi wa polisi kinondoni.

Inakuwa vigimu kufuatilia moja kwa moja kwa kamanda wa polisi mkoani hapa kutokana na taratibu za kijeshi, lakini tunajua hii ni haki yetu.

SIYO MARA YA KWANZA KUDHULUMIWA FEDHA KWENYE OPERESHENI KAMA HIZI, MARA KWA MARA VIONGOZI NDIYO WAMEKUWA WAKIJIPENDELEA POSHO ZA ASKARI WANAOTESEKA NA KAZI, IMEFIKA MAHALI SASA TUMECHOKA.

Tunaomba uongozi wa polisi makao makuu itusaidie askari tunaofanya kazi huku wengine wakifaidi jasho letu.

Source: BARUA YA POLISI OYSTERBAY, DAR

heee,polisi?kwanza umefuta nn huku?tumia maji washa,utapewa posho yako!
 
bora wamedhulumiwa ili wajue uchungu wa kuongozwa na mafisadi
osterbay nao wamezidi kwa rushwa nawashangaa kulalama hicho kidogo wkt kwa siku wanatengeneza sio chini ya laki
 
Sisi polisi wa kituo cha oysterbay tunasikitishwa uongozi wa polisi kimkoa kinondoni kwa kutudhulumu posho zetu za ulinzi wa tamasha la novemba 26 pale leaders club.

Katika tamasha hilo lililohudhuriwa na msanii fabolous kutoka marekani, polisi tuliahidiwa kulipwa Tshs. 15,000/= kwa kila mmoja.

Tumefuatilia kwa waandaaji wa tamasha tukaambiwa kuwa fedha zimeshatumwa kwa uongozi wa polisi kinondoni.

Inakuwa vigimu kufuatilia moja kwa moja kwa kamanda wa polisi mkoani hapa kutokana na taratibu za kijeshi, lakini tunajua hii ni haki yetu.

SIYO MARA YA KWANZA KUDHULUMIWA FEDHA KWENYE OPERESHENI KAMA HIZI, MARA KWA MARA VIONGOZI NDIYO WAMEKUWA WAKIJIPENDELEA POSHO ZA ASKARI WANAOTESEKA NA KAZI, IMEFIKA MAHALI SASA TUMECHOKA.

Tunaomba uongozi wa polisi makao makuu itusaidie askari tunaofanya kazi huku wengine wakifaidi jasho letu.

Source: BARUA YA POLISI OYSTERBAY, DAR

mkome kabisa mwendawazimu wee unatia huruma hapa.
Mnaomba huruma kwa wananchi hakuna hakuwa saidia hata kwa ushauri wa neno.
Na wewe bora wakutimue tuu inaonekana una element za kiusaliti.
Ndiyo afande naona imeanza kukutoka mawazo ya haki,uzalendo na kujitambua vimeanza kukujia so hautakiwi usaliti ushakuingia.

Nyie mabwege sana na mtakula jeuri yenu kenge nyie.Si mmezoea kuwatandika marungu,mabom,risasi na maji ya kuwasha raia pindi wadaipo haki zao.???
Nabado Mr DRY teh teh teh teh teh teh teh
 
nyinyi kenge kabisa nyinti. mnadhani tumesahau jinsi mnavyowatumikia kafiri leo ndo umeona uchungu wa dhuluma, tangu lini. Mmeshasahau mlivyomdhalilisha yule dada pale chuo kikuu, polisi tisa dhidi ya mwanamke mmoja. Na bado mpaka mtie adabu na tabia yenu ya kuwatumikia mafisadi
 
nendeni shule mkakataa sasa unalalama nini humu? kama vipi chukua smg watandikeni hao wezi wenzenu
 
nyie polisi wa oysterbay hamna haki ya kula hela yote hiyo peke yenu. wenzenu wa kurasini wanalipwa kabla ya kazi na wakiwalazimisha kwenda wanaenda halafu wankuwa wanaruhusu watu kuingia kwa nusu bei hadi watakapopata hela ya kutosha. wewe una kisu yaani umebeba hadi mabomu ya machozi lakini bado unalala njaa. wanakuliwazeni na kauli mbiu UTII BILA SHURUTI. poleni sana na hiyo hela ndo hampati mtaambiwa wataiunganisha kwenye hela ya likizo ya 2012 siku ya parade na nyie mtaitikia NDIYO AFANDE.Mia
 
Nashauri busara itumike katika hili,inawezekana kabisa huyu ni kati ya wale waliouelewa waraka wa Mwigamba sasa anaanza kuufanyia kazi,atiwe moyo badala ya kebehi.
Mi nahisi tukiwakaribisha hawa jamaa vizuri jamvin tutapata mengi sana yanayowahusu,mi naamini si wote hupiga wananchi kwa kupenda bali nahisi ni nature ya kazi[NDIO AFANDE KWA KILA JAMBO]
Pia sio kweli kwamba wote hawakwenda shule hapana,nilisikitika sana siku moja ktk pitapita zangu nilimuona jamaa yangu mmoja ana degree akiwa analinda benki.
 
Tena nyie wa Oysterbay ndio wa hovyo kabsa,mumezidi uzulumati,wacha mchinjiliwe baharini na hao wakubwa wenu,hiyo 15,000 ndio unakuja kutujazia jukwaa ,mumezoea ndio maana mnakula rusha hata ya sh 500 .kawang'ang'anie vibosile wenu kama vile mnavyowang'ang'ania raia uswazi,mumezoe sana mtelemko nyie msio na soni,nimefurahi kuwa hiyo imekula kwenu
 
Hebu vuteni kumbukumbu jins mnavyotupigaga risasi na mabomu pale tunapodai haki zetu, HAMNA HAYA NYIE KAZI YA KUTUMIKISHWA KAMA PUNDA NA HAMLIPWI CHA MAANA,
 
Back
Top Bottom