Polisi anayeitwa trafiki kasimu amejeruhiwa sana kichwani na vijana waendesha pikipiki.tukio lilitokea ijumaa kama saa 2 usku wakti anarud nyumbani kwake eneo la makaburi akitokea mjini.inasemekana watu wawili wenye pikipiki walimfuata na kuanza kumpa kichapo had kuumizwa. Inasemekana alikuwa anawasumbua waendesha pikpiki kwa kuwatoza faini zisizo na kichwa wala mguu. Kubwa zaid alikuwa anasimama main road karibu na soko anakamata pikpik zinazopaki eneo la soko.inadaiwa wakikuta pikpik peke yake,alikuwa anaisukuma pikpik had kituo cha stand kati na ukienda kuitoa ni pesa nyingi. Malalamiko imekuwa kwamba wanakamata wakti hakuna sign post<alama> inayoonyesha usipaki. vijana wengi wanalia na matrafik wa kasulu hivyo heti wameamua kutoa fundisho. Nawasilisha