Aiseee! mbona unafikiria kinyumenyume sana, ni polisi wa wapi hao walikufanyia hivyo?simpendi polisi hata akiwa jirani yangu sipendi. polisi akifa au kufiwa natafuta safar niondoke mtaani ili nisishiriki msiba
Sababu:
polisi hawatumii reasoning katika maamuzi yao mengi... tangu wanipore simu yangu kwa makosa ya siber ambayo kwakweli hayakuwa na ukweli nawachukia sana. nitamgonga mmoja kwa gar hadi nimuue na kisha nimpeleke hospital mwenyewe
Punguza uongoPolisi na Askari wengi hawayapendi wafanyayo Bali ni kwa amri kutoka juu.
polisi wa tanzania.... niliwambia wanipeleke mahakamani hawajanipeleka na simu yangu wanayo hadi leo.... nilitoka ndani na kukuta wamechukua na pesa zangu. pumbavuAiseee! mbona unafikiria kinyumenyume sana, ni polisi wa wapi hao walikufanyia hivyo?
Kuna wakati utawatamani hao polisi na hutawapata ndiyo utajua maana ya maneno yako. Endelea kuwachukia hata ukivamiwa na majambazi usiende polisi nenda kwa wahalifu wengine ukawashtakie huko.simpendi polisi hata akiwa jirani yangu sipendi. polisi akifa au kufiwa natafuta safar niondoke mtaani ili nisishiriki msiba
Sababu:
polisi hawatumii reasoning katika maamuzi yao mengi... tangu wanipore simu yangu kwa makosa ya siber ambayo kwakweli hayakuwa na ukweli nawachukia sana. nitamgonga mmoja kwa gar hadi nimuue na kisha nimpeleke hospital mwenyewe
Nenda kwa viongozi wao povu la humu halikusaidi.polisi wa tanzania.... niliwambia wanipeleke mahakamani hawajanipeleka na simu yangu wanayo hadi leo.... nilitoka ndani na kukuta wamechukua na pesa zangu. pumbavu
nimeshaenda kote, baada ya kujua wote ni wapuuzi niliamua kuwaacha naendlea kivyangu nimepata simu nyingine maisha yanaendlea.
Bado hujaenda kwa wote ila fahamu kua km hiyo simu ni kielelezo huwezipata mpk kesi iishe mahakamani. Kinyume na hapo nenda hata kwa mkuu wa mkoa au TAKUKURU kwakua km simu yako inashikiliwa kinyume na taratibu hayo yatakua matumizi mabaya ya madarakanimeshaenda kote, baada ya kujua wote ni wapuuzi niliamua kuwaacha naendlea kivyangu nimepata simu nyingine maisha yanaendlea.
Ilikuaje wakakuporasimpendi polisi hata akiwa jirani yangu sipendi. polisi akifa au kufiwa natafuta safar niondoke mtaani ili nisishiriki msiba
Sababu:
polisi hawatumii reasoning katika maamuzi yao mengi... tangu wanipore simu yangu kwa makosa ya siber ambayo kwakweli hayakuwa na ukweli nawachukia sana. nitamgonga mmoja kwa gar hadi nimuue na kisha nimpeleke hospital mwenyewe
Simu gani walikuchukulianimeshaenda kote, baada ya kujua wote ni wapuuzi niliamua kuwaacha naendlea kivyangu nimepata simu nyingine maisha yanaendlea.
Ni kituo gani hicho?polisi wa tanzania.... niliwambia wanipeleke mahakamani hawajanipeleka na simu yangu wanayo hadi leo.... nilitoka ndani na kukuta wamechukua na pesa zangu. pumbavu
Mama fanya kama unajikuna sehemu zooote za mwili wakosimpendi polisi hata akiwa jirani yangu sipendi. polisi akifa au kufiwa natafuta safar niondoke mtaani ili nisishiriki msiba
Sababu:
polisi hawatumii reasoning katika maamuzi yao mengi... tangu wanipore simu yangu kwa makosa ya siber ambayo kwakweli hayakuwa na ukweli nawachukia sana. nitamgonga mmoja kwa gar hadi nimuue na kisha nimpeleke hospital mwenyewe
Kwendaaaaa hampendeki kweliKuna wakati utawatamani hao polisi na hutawapata ndiyo utajua maana ya maneno yako. Endelea kuwachukia hata ukivamiwa na majambazi usiende polisi nenda kwa wahalifu wengine ukawashtakie huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali jambazi anakuvamia ukijua ni jambazi kuliko polisi anayetumia magwanda kukupa kesi na kukupiga virungu bila kosa na kukusachi halafu pesa na simu wanachukuaKuna wakati utawatamani hao polisi na hutawapata ndiyo utajua maana ya maneno yako. Endelea kuwachukia hata ukivamiwa na majambazi usiende polisi nenda kwa wahalifu wengine ukawashtakie huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea na ujinga wako na uhalifu wako hakuna haja ya kupendwa na wahalifu km wewe