Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Mkuu! Duh! Huyu Kamanda kauwa? Jamani hawa watumishi wa sisiem sasa ni mizigo kwa jamii! Lakini mwisho wao waja hakika!
Source ni: Sunday News. Sasa tujiulize hawa polisi wanatafuta sifa kwa kuwakamata innocent? Laptop, then riot. Nonsense. Na jamaa wamemzuilia kituo cha Salender, tuhuma gani atajibu?
hahahaha...msemo huu niliutumia sana siku MANU alipo tandikwa 6.....Ila wajue mwosha huoshwa siku ya maovu yao wanayofanya yaja na haiko mbali