Polisi na PF3, ni unyama au ushenzi - Mwema tusaidieni

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,067
22,759
Mtu anafikishwa hospitalini akiwa hoi bin taabani, eti matibabu hapati mpaka PF3 kutoka polisi. Nimetembea sehemu nyingi duniani na jukumu la kwanza la vituo vya afya ni kusave life.

Hapa kwetu TZ ni ama kwanza pesa au PF3 ndio maisha ya mgonjwa yaokolewe. Je, huu ni ujinga, unyama au ushenzi kwani jukumu la msingi la serikali yoyote ni kuokoa/kulinda maisha ya wananchi wake. Hebu shuhudieni hapa;
Pamoja na yote sijui CCM wanaingiaje hapa, duh !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…