polisi na madeal

polisi na madeal

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,972
Reaction score
13,430
Mambo zenu? eti jamani hivi ni kwanini Polisi hakupi deal mpaka akikukamata ndio anaanza kuchukua namba na kuanza kukupa madeal ya kupata mahela au hata kukusaidia pale mambo yanapokuwa sio mazuri? Nalog off
 
Mambo zenu? eti jamani hivi ni kwanini Polisi hakupi deal mpaka akikukamata ndio anaanza kuchukua namba na kuanza kukupa madeal ya kupata mahela au hata kukusaidia pale mambo yanapokuwa sio mazuri? Nalog off
Tutachangiaje wakati si tume log in na ww ume log off?
 
Back
Top Bottom