Channel ten imeonyesha vurugu kubwa hadi mabomu ya machozi na mawe kutumika katika rabsha hiyo. Sababu kubwa ni police almaarufu kama tigo kumkamata mwendesha bodaboda baada ya kukiuka sheria. Je vitendo hivyo ni dalili ya waboda kuchoshwa na matendo ya police?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.