ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,717
- 57,245
Enzi za Magufuli alisema muache kukamata wanaouza gongo kwani hata mama zenu waliwasomesha kwa hio biashara.leo hii mnataka hela mnaanza Tena kusumbua watu Kama kweli nyie mnapenda afya za watu Basi kamateni na wauza sigara,madawa ya kulevya,pombe kali n.k
Msitake kusema kwamba gongo ndo yenye sumu peke yake.kg nitembezee pegi.
Msitake kusema kwamba gongo ndo yenye sumu peke yake.kg nitembezee pegi.