Polisi: Mke alishuhudia mume akilawiti gesti

Issa SLuu

JF-Expert Member
Sep 13, 2013
2,303
1,802
Mahakama ya wilaya ya ilala, imepokea maelezo ya Sanifa Bakari katika kesi ya KUMLAWITI mwanaume inayomkabiri MUMEWE, bw. ERick Kasira na mwenzake,Juma Richadi(31) yaliyowasilishwa na askari wa kituo cha polisi buguruni.

Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matatu ya KUMLAWITI mwenzao, kumpiga picha za utupu na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii.

Maelezo hayo yaliwasilishwa Jana na koplo Eliachi mbele ya hakimu Said Mkasiwa.

Alidai maelezo hayo amabayo yatatumika Kama ushahidi ktk kesi hiyo, aliyaandika tarehe Agosti 26,2014 ofisini kwake kutoka kwa mwanamke wa mshtakiwa bi Safina.

Alidai agosti 23,2014,Safina alimwambia alipigiwa simu na mlalamikaji katika kesi hiyo akimtaka aende kwenye nyumba ya wageni iliyopo kiwalani.

Alidai baada ya kufika waliingia chumbani nakushtukia mlango ukigongwa, baada ya kufungua aliwaona wanaume akiwemo mumewe wakiingia chumbani,Safina alikimbilia chooni,kupitia tundu LA mlango wa chooni aliwaona wakimlawiti mlalamikaji na kumpiga picha,''alidai
Alidai Safina baada ya kurudi nyumbani alipigwa na mume wake na kesho yake alitumiwa picha za tukio ilo kwenye simu ya Dada yake.

Chanzo: MWANACHI__27/FEB/16
 
Alimuita kwenye nyumba ya wageni kufanyeje??? hali akijua kuwa yeye ni mke wa mtu, je kuna biashara gani inafanyikia Guest tena kwa jinsia mbili tofauti?? Huyo Hakimu nae aongeze akili kidogo
 
Alimuita kwenye nyumba ya wageni kufanyeje??? hali akijua kuwa yeye ni mke wa mtu, je kuna biashara gani inafanyikia Guest tena kwa jinsia mbili tofauti?? Huyo Hakimu nae aongeze akili kidogo
Hata akisema alikuwa anazini nae lakini hili halitamwokoa mshtakiwa kisheria. Kutembea na mke wa mtu sio vizuri lakini mshtakiwa alifanya kosa la kujionyesha jinsi alivyolipa kisasi. Yeye angejiweka pembeni na aachie hiyo kazi wanaume wengine waliova kininja. Kama hana fedha za kutosha anaweza kufungwa kifungo kirefu.
 
Hata akisema alikuwa anazini nae lakini hili halitamwokoa mshtakiwa kisheria. Kutembea na mke wa mtu sio vizuri lakini mshtakiwa alifanya kosa la kujionyesha jinsi alivyolipa kisasi. Yeye angejiweka pembeni na aachie hiyo kazi wanaume wengine waliova kininja. Kama hana fedha za kutosha anaweza kufungwa kifungo kirefu.
afungwe tu na yeye akayapate aliyomtendea mwenzie, haahaha kuna picha ziliwahi kuwekwa kwenye mitandao jama wako na vipande vya sabuni, ndio hio?
 
Mkuu ni rahisi sana kusema hivi lakini inategemea na mazingira. Ni kweli njia nzuri kabisa ya ''kumwadhibu'' mke/mume mwasherati ni kuachana nae, lakini wakati mwingine udhaifu wa kibinadamu unaweza kukutuma kufanya vitu vya ajabu.
Mkuu mwanamke akishaanza kutombesha nje ujue ndio basi tena kuacha ina kuwa ngumu... Hata kwa mwanaume pia
 
kuna vitu vinatembea kichwani haviandikiki.....

Daima mtu ambaye hajui machungu ya kuibiwa akiona mwizi anapigwa na kuchomwa moto hulalama na kulaumu binadamu kukosa utu..... mtu huyo huyo yakimkuta utashangaa....utandhani si yeye aliyekuwa akitoa ushauri ...atakuwa wa kwanza kutafuta mafuta na kibiriti bila kusahau tairi
 
Bila ya Shaka ht kidogo we ndo uhongeze akili ya uelewa,,,nikwamba vipi,, huyo mume wa Huyo mwanamke,alishagundua kitambo kuwa mlalamikaji anatembea na mkewe,,alichofanya akamteka Huyo mgoni wake,then akamkomandi kuwa ampigie simu Huyo mwanamke ili aje hapo gesti,then ndio wakatekeleza uho ushenzi wao,,,,,,KIUFUPI HAO JAMAA WANAFUNGWA,,maana mlalamikaji must atajitetea kuwa yeye alikuwa Hana mahusianao na Huyo mwanamke,Bali hao washtakiwa walimteka nakumlazimisha kuwa ampigie simu huyo mwanamke aje hapo gesti,then wakatekeleza uho uchafu wao kwa Marengo wanayowajua wao,,,,
 
Back
Top Bottom