The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
matatizo mengine ni yakujitakia
unaweza jisaidia hata kwenye majani lakini hili ***** likaona
litumie choo cha rais ili likasimulie
mimi nimewahi fukuza house girl kwa kutumia toilet ya masterbedroom
ishu hapa sio usawa,ishu ni kukosa nidhamu kwa baadhi ya watu..
unamwambia marufuku kutumia hiki
anadharau
peleka jela haraka
unaweza jisaidia hata kwenye majani lakini hili ***** likaona
litumie choo cha rais ili likasimulie
mimi nimewahi fukuza house girl kwa kutumia toilet ya masterbedroom
ishu hapa sio usawa,ishu ni kukosa nidhamu kwa baadhi ya watu..
unamwambia marufuku kutumia hiki
anadharau
peleka jela haraka