Raia wa Sudan akamatwa akijaribu kumchinja kwa kisu raia huko Belfast

Raia wa Sudan akamatwa akijaribu kumchinja kwa kisu raia huko Belfast

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
8,650
Reaction score
7,389
Uislamu ulivyoleta majanga Ulaya na Marekani⚠️

Msudani mmoja mwenye umri wa miaka 30 alikamatwa kwa jaribio la mauaji baada ya shambulio la kinyama la kisu kaskazini mwa Belfast ambalo lilimwacha mwanamume mwenye umri wa miaka 40 na majeraha mabaya usoni, shingoni, na mgongoni.

Shambulio hilo, ambalo lilitokea Jumatatu usiku kwenye Kinnaird Avenue, lilinaswa kwenye video likimwonyesha mshambuliaji akimpiga mwathiriwa mara kwa mara huku watu waliokuwa karibu wakiingilia kati, huku mmoja akitumia fimbo ya kurusha ili kuzuia shambulio hilo.

Mashahidi walielezea tukio hilo kama jaribio la kumkata kichwa, ingawa polisi hawajalitaja rasmi.


===========

A man believed to be Sudanese has been arrested on suspicion of attempted murder after a "brutal" knife attack in Belfast, police have said.

The man, in his 30s, remains in custody after the incident in north Belfast at about 22:30 BST on Monday. Police are not seeking anyone else in relation to the incident.

Police have said they recovered what they believe to be a kitchen knife at the scene.

Video circulating online shows a number of people, including one wielding a hurling stick, confronting the apparent attacker until the police arrived.

A man injured in the attack, aged in his 40s, is in hospital where his condition is described as serious.

Police said he had serious slash wounds to his back and face and had eye injuries as well.

They praised local residents for their actions which they said saved the man's life.

Source: BBC
 
Nakumbuka 2017 yule waziir wa mambo ya nje wa UAE aliwaonya magharibi kwa kujifanya na huruma sana na kujifanya kujua maswala ya kobaz zaidi ya wao wanavyojua.

Leo hii ulaya imejaa mauaji na ubakaji kwa sababu ya wahamiaji holela kutoka ncchi za kikobazi

Sasa wanaona madhara yake, ulaya sio ulaya tena ile ya wakina queen elizabeth na napoli, ulaya imekuwa rambo la ubakaji kwa sabaabu ya waarabu na wapakistana na wasomali.

SHAME.
 
Uislamu ulivyoleta majanga Ulaya na Marekani⚠️

Msomali mmoja mwenye umri wa miaka 30 alikamatwa kwa jaribio la mauaji baada ya shambulio la kinyama la kisu kaskazini mwa Belfast ambalo lilimwacha mwanamume mwenye umri wa miaka 40 na majeraha mabaya usoni, shingoni, na mgongoni.

Shambulio hilo, ambalo lilitokea Jumatatu usiku kwenye Kinnaird Avenue, lilinaswa kwenye video likimwonyesha mshambuliaji akimpiga mwathiriwa mara kwa mara huku watu waliokuwa karibu wakiingilia kati, huku mmoja akitumia fimbo ya kurusha ili kuzuia shambulio hilo.

Mashahidi walielezea tukio hilo kama jaribio la kumkata kichwa, ingawa polisi hawajalitaja rasmi.
Inatisha Sana
 
Baada ya ya msomali huyo kukamatwa na kushitakiwa vijana wa kiislamu waliingia mitaani na kuanza kuchoma magari na vitu mbalimbali walikaribishwa kama wakimbizi sasa wanautumia vibaya uhuru waliouwawa huko Ulaya!!!
 

Attachments

  • -7519198569201062206.mp4
    1.3 MB
  • 7113717031945556750.mp4
    1.8 MB
  • -8662796135742681475.mp4
    2.7 MB
  • 1805880709078674024.mp4
    1.2 MB
Nakumbuka 2017 yule waziir wa mambo ya nje wa UAE aliwaonya magharibi kwa kujifanya na huruma sana na kujifanya kujua maswala ya kobaz zaidi ya wao wanavyojua.

Leo hii ulaya imejaa mauaji na ubakaji kwa sababu ya wahamiaji holela kutoka ncchi za kikobazi

Sasa wanaona madhara yake, ulaya sio ulaya tena ile ya wakina queen elizabeth na napoli, ulaya imekuwa rambo la ubakaji kwa sabaabu ya waarabu na wapakistana na wasomali.

SHAME.
Subhanaallah!Hatari tupu hiyo!
 
Baada ya ya msomali huyo kukamatwa na kushitakiwa vijana wa kiislamu waliingia mitaani na kuanza kuchoma magari na vitu mbalimbali walikaribishwa kama wakimbizi sasa wanautumia vibaya uhuru waliouwawa huko Ulaya!!!
Hawana bunduki hao wazungu?Wawaonye kwa kuwapiga risasi za vichwani.Wasiwapige tumboni watakufa.Ni vichwani tu.
 
na hawa barbaria somalia ndio wanatuketea huku tanzagiza?

Christians wameshachoka …

1781082224733.jpeg
 
Muslims can not co-exist with Christians …
View attachment 3604954
Mbona kama wamepigana wenyewe uyu Mzungu kaaungushwa chin!!!

kwann Dini imebebeswa zigo la ugomvi wa watu wawili!!!!!!!!

Kwaiyo ingekuwa uyo Mzungu ndio kamtandika uyo kijana mngesema Mkristo kampiga Muislamu au mngetafuta neno lengine??

Propaganda za kitoto🚮🚮🫎🫎🫎
 
Mbona kama wamepigana wenyewe uyu Mzungu kaaungushwa chin!!!

kwann Dini imebebeswa zigo la ugomvi wa watu wawili!!!!!!!!

Kwaiyo ingekuwa uyo Mzungu ndio kamtandika uyo kijana mngesema Mkristo kampiga Muislamu au mngetafuta neno lengine??

Propaganda za kitoto🚮🚮🫎🫎🫎

hakuna mzungu anayechinja mtu kwa kisu, kuchinja hufanywa na muslims tu au labda hata mila mila pia hichinjana kwa mapanga, tanzagiza ni ugomvi kila siku na muslims kwamba wanataka kuchinja halali, anayechinja mnyama atachinja binadamu pia its proven, ofcourse wapo wazungu wengi tu wanao-shoot binadamu wengine kwa risasi lkn kuchinja mtu kama ngombe only muslims na mila mila labda ndiyo hufanya hivyo ...
 
Uganda sio mbali uko Ulaya kibweteere Baba Mchungaji kawauwa Wakristo wenzie Mia900💀💀💀💀💀💀💀💀 lengo waende kwa YESU YESU Aleluyaaaaa🚮🚮

So ndio tuseme Ukristo ni upumbavu kwann YESU✝️✝️✝️ atumike kuwauwa watu kinyama kama vile mia 900☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️????

MCHUNGAJI Paul Makenzie kawauwa Wakristo wenzie mia700✝️✝️✝️✝️ lengo pia Wakristo waende kwa YESU YESU Aleluyaaaaa YESU sio mbali uko Ulaya ni jiran tu pale Kenya kesi bado ipo Mahakamani Je tuseme Ukristo ni Upumbavu ???

Ivi Kweli mtu mwenye Afya njema ya akili vipi afe kikondoo kondoo kama vile pale Uganda au Kenya????

Je tupige Vita Ukristo usiwepo kabisa mana chanzo cha mauaji makubwa sana????
 
hakuna mzungu anayechinja mtu, kuchinja hufanywa na muslims tu hata tanzagiza ni ugomvi kila siku na muslims kwamba wanataka kuchinja, anayechinja mnyama atachinja binadamu pia, its proven ...
Joseph kibweteere kafanyanini pale Uganda kufa ni kufa iwe kuchomwa Moto💥💥💥 au kufa njaa kuchinjwa yote kufa Sababu za Kidini ✝️✝️
 
Kuna mwengine Joseph Konn kachinja watoto pale Uganda anatafutwa na Mahakama za kimataifa mpaka leo ajapatikana!!!!
nayeye yupo kwenye mipango kutaka Uganda iyongozwe kwa Amri kumi za kwenye Biblia ✝️✝️

picha ya juu kwenda Chini ya kwanza 👇uyo ndo JOSEPH KONN
chini zaidi
Baba Mchungaji Paul Makenzie wa Kenya kilifi kawauwa watu njaa ili waende kwa YESU ✝️
 

Attachments

  • 1427828758674_Joseph-Kony-composite-006 (1).jpg
    1427828758674_Joseph-Kony-composite-006 (1).jpg
    14 KB · Views: 11
  • 4c3m2359288f6a2ay4m_800C450.jpg
    4c3m2359288f6a2ay4m_800C450.jpg
    63.8 KB · Views: 13
hakuna mzungu anayechinja mtu kwa kisu, kuchinja hufanywa na muslims tu au labda hata mila mila pia hichinjana kwa mapanga, tanzagiza ni ugomvi kila siku na muslims kwamba wanataka kuchinja halali, anayechinja mnyama atachinja binadamu pia its proven, ofcourse wapo wazungu wengi tu wanao-shoot binadamu wengine kwa risasi lkn kuchinja mtu kama ngombe only muslims na mila mila labda ndiyo hufanya hivyo ...

Kama Mzungu hawezi mweusi anaweza pale Uganda Kenya Wachungaj nimewataja wamewauwa Wananchi kisa Dini tu✝️YESU✝️YESU✝️!!!

Wachungaj Waliotenda unyama bado wapo hai wametumia Ukristo na Bible kama nyenzo ya kuwateketeza wananchi Uganda na Kenya kigezo cha kufa Dini✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️ Aleluyaaaaa Ameeeennn Aleluyaaaaa YESU YESU watu chalii 1600 kikondoo kondoo
 
Kama Mzungu hawezi mweusi anaweza pale Uganda Kenya Wachungaj nimewataja wamewauwa Wananchi kisa Dini tu✝️YESU✝️YESU✝️!!!

Wachungaj Waliotenda unyama bado wapo hai wametumia Ukristo na Bible kama nyenzo ya kuwateketeza wananchi Uganda na Kenya kigezo cha kufa Dini✝️✝️✝️✝️✝️✝️✝️ Aleluyaaaaa Ameeeennn Aleluyaaaaa YESU YESU watu chalii 1600 kikondoo kondoo

sawa ingawaje i doubt kama hao waganda ni Christians (kujiita Christian hakumaanishi kwamba ni Christians Biblia imeonya khs watu aina hiyo lkn hiyo ni mada nyingine hata hivyo) wamefanyia huo unyama kwao uganda, sasa hawa barbaria low iq somalis wanafwata nini nchi za watu kama hawawezi ku-integrate? hao waafrika wakifanyiana unyama afrika labda inaelezeka, lkn siyo unakwenda kwa watu tena kwa kuomba halafu unakwenda na unyama wako ...
 
Akipigwa Mzungu ni Ugaidi akipigwa Mweusi nisawa tu

Weupe wanauwa Weusi kila uchao👈

lkn Weusi ndio wakwanza kuwatetea weupe🫎🫎

kisa Dini ya Mzungu

wapi huko weusi wanapouliwa kila uchao na hao unawaita weupe? nitajie watu weusi walipouliwa na "weupe", btw muslims and communists kill afrikans kila siku sudani, kongo, barbaria somalia, chad, nigeria, nigeria mpaka msumbiji haya nitajie pale ambapo hao weupe wanapoua waafrika ...
 
Uislamu ulivyoleta majanga Ulaya na Marekani⚠️

Msomali mmoja mwenye umri wa miaka 30 alikamatwa kwa jaribio la mauaji baada ya shambulio la kinyama la kisu kaskazini mwa Belfast ambalo lilimwacha mwanamume mwenye umri wa miaka 40 na majeraha mabaya usoni, shingoni, na mgongoni.

Shambulio hilo, ambalo lilitokea Jumatatu usiku kwenye Kinnaird Avenue, lilinaswa kwenye video likimwonyesha mshambuliaji akimpiga mwathiriwa mara kwa mara huku watu waliokuwa karibu wakiingilia kati, huku mmoja akitumia fimbo ya kurusha ili kuzuia shambulio hilo.

Mashahidi walielezea tukio hilo kama jaribio la kumkata kichwa, ingawa polisi hawajalitaja rasmi.


===========

A man believed to be Sudanese has been arrested on suspicion of attempted murder after a "brutal" knife attack in Belfast, police have said.

The man, in his 30s, remains in custody after the incident in north Belfast at about 22:30 BST on Monday. Police are not seeking anyone else in relation to the incident.

Police have said they recovered what they believe to be a kitchen knife at the scene.

Video circulating online shows a number of people, including one wielding a hurling stick, confronting the apparent attacker until the police arrived.

A man injured in the attack, aged in his 40s, is in hospital where his condition is described as serious.

Police said he had serious slash wounds to his back and face and had eye injuries as well.

They praised local residents for their actions which they said saved the man's life.

Source: BBC
Din inaruhusu, wewe chagua
 
sawa ingawaje i doubt kama hao waganda ni Christians (kujiita Christian hakumaanishi kwamba ni Christians Biblia imeonya khs watu aina hiyo lkn hiyo ni mada nyingine hata hivyo) wamefanyia huo unyama kwao uganda, sasa hawa barbaria low iq somalis wanafwata nini nchi za watu kama hawawezi ku-integrate? hao waafrika wakifanyiana unyama afrika labda inaelezeka, lkn siyo unakwenda kwa watu tena kwa kuomba halafu unakwenda na unyama wako ...

Ikiwa ww sio mnafiki unaoji Msomali kwenda Ulaya kuwauwa Wazungu !!!

Lkn umewai kuoji Marekani anafanya nini Somalia ??????
Unajua wameuwa Wasomali wangapi pale??


Marekani na Uingereza Germany France Italy Australia Nk. wamefanya nn Afghanistan Iraq Libya Syria nk.

Je unajua wameuwa raia wangapi kwenye izo Nchi???


Wazungu wameitwa nanani kwenye Nchi za Waislam ???


zaidi kwenda kuuwa watu wasio na hatia yoyote kwanzia kina Mama mpaka watoto zao!!

Australia ilitoka ripoti ya Aljazeera kuwa vikosi vingi vilienda Afghanistan kujifunza kuuwa

Yani Wanajeshi vijana wa Kizungu ni wapya hawajawai kuuwa Binadamu ivyo lengo kupelekwa kule Afghanistan wakapate fields ya kuuwa moja
kwa moja Binadamu Lengo wawe wazoefu na kuuwa wasiogope kuuwa kwenye mission yoyote uko mbele iwe Vita nk.💀💀💀💀💀

Vijana wajeda wa Australia ndio wakatoa iyo siri
Baadhi yao waligoma kuuwa pasi sababu

lkn Kamanda wao mkuu akawalazimisha kuuwa tu yoyote wakimkuta mkulima Shambani kikundi chochote njian Uwa kitoto kinacheza Uwa pamoja na Mamake mzazi Uwa!!
wanatakiwa kuuwa tu wasioji kitu chengine chochote¿¿¿¿¿

Leo kondoo mliopotea mkisikia kijana wa Afghanistan kawauwa watu uko Ulaya!!

mnataka kufanya propaganda wkt baba zake uyo kijana wameuwawa pasi na Sababu yoyote na Wazungu miungu yenu💀💀✍️

Sijui mnaelewa Wazungu vizuri❗️

kabla ya kuvamiwa Afghanistan hatukuwai kusikia tukio lolote kutoka kwa raia wa Afghanistan uko Ulaya au Somalia 👈

Muislamu kamwe usisubutu kumuuwa ukadhani mambo yameisha👈
ipo siku yako utalipia Damu yake👈

Wamezoea kuuwa ovyo ovyo Wamewauwa wa Vietnam million 3 kwenye ile Vita ¿¿

lkn wa Vietnam wamepotezea kwao yameisha👈

Sasa wakaamia kwa waislamu uku sasa wamefika kwa mfano wa mbuzi kufia kwa muuza Supu 🤠🤠

Waislam ni noma mtazikana tu mdogo mdogo lkn watakufikishia ujumbe kwako uko uko mchezo bado
ndokwanza asubuhi ✍️
 
Back
Top Bottom