Aggrey86
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 853
- 155
Wakuu nikiwa nafuatilia taarifa ya habari ITV, Nimemsikia Dr.W.Slaa akisema chuo cha Polisi moshi kinaandaa askari wale mafunzo wapatao 95 kwenda kusaidia Ccm pale Arumeru, Jamani sasa hi ni haki kweli? Kwani Ccm wao hawajiamini hadi waanze kuongeza na Askari wawasaidie? Sasa nini kifanyike ndugu zangu kuokoa hii Arumeru tusaidiane hapa jamani wanaarumeru wote kuweni makini jamani lindeni kura zenu kwa hali na Mali inauma sana kiukweli.