Polisi K'njaro mkamateni huyu

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
227
383
Miaka mitano imepita tangu atoroke akiwa nje ya dhamana Kamran Ahmed raia wa Pakistan ambaye alikamatwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)akisafrisha wanyama hai wenye thamani ya shilingi Milini 170.5 wakiwamo Twiga wanne kwenda Doha Qatqr Falme za kiarabu akitumia ndege ya jeshi .

Kamran alifikishwa mahakamani na wenzake wanne akishitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi,wote walinyimwa dhamana na mahakama za chini mjini Moshi lakini walipewa dhamana na mahakama Kuu Kanda ya Moshi baada ya kupewa masharti sita magumu lakini waliyatimiza na kuwa nje kwa dhamana.

Washitakiwa wengine ni Martin Kimati,Hawa Mang'unyuka na Jane Mbogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kenya .
Raia huyo wa Pakistan alidhaminiwa na watu wawili wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro,Peter temba(marehemu) na Jackson Kimambo ambaye yupo hai mpaka sasa lakini mshitakiwa huyo aliruka dhamana na mmoja wa wadhamni wake(marehemu Peter Temba)akitiwa mbaroni na kwenda kutumikia kifungo chake .

Moja ya masharti ya dhamana ilikuwa ni wadhamini hao kuweka bondi ya maneno ya sh,Milini 14 kila mmoja,washitakiwa hawakuruhusiwa kutoka nje ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha bila kibali kutoka ofisi ya Naibu Msajili wa mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Baada ya mshitakiwa huyo kuruka dhamana,Kimambo alikimbia kukwepa mkono wa dola na kwenda kujificha kusikojulikana kwa zaidi ya miaka miwili lakini hivi sasa amerejea uraiani na polisi hawajaweza kumkamata japo wanamuona kila siku na wanapiga naye story za hapa na pale.

Ikumbukwe kuwa jinai siku zote huwezi ukaikimbia na unaweza ukahukumiwa bila wewe kuwepo na mahakamani lakini baada ya miaka mitano unaweza ukakamatwa na kwenda kutumikia kifungo chak,maana yake ni kwamba Kimambo bado ni mtuhumiwa na akikamatwa atatumikia kifungo chake kama mwenzake.
 

Attachments

  • JACKSON KIMAMBO.jpg
    JACKSON KIMAMBO.jpg
    15.4 KB · Views: 45
Una mdhamini mpakistan aka paka
Lazima ale kona akuachie manyoya wee uliyemdhamini
Unakumbuka kisa kisa kile walikamatwa wapakistan na kg 400 za madawa walifanya figisu hakim sjui jiji gani akawachia kwa dhamana,jamaa walipotea kama kishada

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa walikua wanakaa mbezi ndani walikutwa na bill 4 na ngada imejaa chumba kizima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka mitano imepita tangu atoroke akiwa nje ya dhamana Kamran Ahmed raia wa Pakistan ambaye alikamatwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)akisafrisha wanyama hai wenye thamani ya shilingi Milini 170.5 wakiwamo Twiga wanne kwenda Doha Qatqr Falme za kiarabu akitumia ndege ya jeshi .

Kamran alifikishwa mahakamani na wenzake wanne akishitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi,wote walinyimwa dhamana na mahakama za chini mjini Moshi lakini walipewa dhamana na mahakama Kuu Kanda ya Moshi baada ya kupewa masharti sita magumu lakini waliyatimiza na kuwa nje kwa dhamana.

Washitakiwa wengine ni Martin Kimati,Hawa Mang'unyuka na Jane Mbogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kenya .
Raia huyo wa Pakistan alidhaminiwa na watu wawili wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro,Peter temba(marehemu) na Jackson Kimambo ambaye yupo hai mpaka sasa lakini mshitakiwa huyo aliruka dhamana na mmoja wa wadhamni wake(marehemu Peter Temba)akitiwa mbaroni na kwenda kutumikia kifungo chake .

Moja ya masharti ya dhamana ilikuwa ni wadhamini hao kuweka bondi ya maneno ya sh,Milini 14 kila mmoja,washitakiwa hawakuruhusiwa kutoka nje ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha bila kibali kutoka ofisi ya Naibu Msajili wa mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Baada ya mshitakiwa huyo kuruka dhamana,Kimambo alikimbia kukwepa mkono wa dola na kwenda kujificha kusikojulikana kwa zaidi ya miaka miwili lakini hivi sasa amerejea uraiani na polisi hawajaweza kumkamata japo wanamuona kila siku na wanapiga naye story za hapa na pale.

Ikumbukwe kuwa jinai siku zote huwezi ukaikimbia na unaweza ukahukumiwa bila wewe kuwepo na mahakamani lakini baada ya miaka mitano unaweza ukakamatwa na kwenda kutumikia kifungo chak,maana yake ni kwamba Kimambo bado ni mtuhumiwa na akikamatwa atatumikia kifungo chake kama mwenzake.
Vp ni Peter Temba wa Mabogini?
 
Miaka mitano imepita tangu atoroke akiwa nje ya dhamana Kamran Ahmed raia wa Pakistan ambaye alikamatwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)akisafrisha wanyama hai wenye thamani ya shilingi Milini 170.5 wakiwamo Twiga wanne kwenda Doha Qatqr Falme za kiarabu akitumia ndege ya jeshi .

Kamran alifikishwa mahakamani na wenzake wanne akishitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi,wote walinyimwa dhamana na mahakama za chini mjini Moshi lakini walipewa dhamana na mahakama Kuu Kanda ya Moshi baada ya kupewa masharti sita magumu lakini waliyatimiza na kuwa nje kwa dhamana.

Washitakiwa wengine ni Martin Kimati,Hawa Mang'unyuka na Jane Mbogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kenya .
Raia huyo wa Pakistan alidhaminiwa na watu wawili wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro,Peter temba(marehemu) na Jackson Kimambo ambaye yupo hai mpaka sasa lakini mshitakiwa huyo aliruka dhamana na mmoja wa wadhamni wake(marehemu Peter Temba)akitiwa mbaroni na kwenda kutumikia kifungo chake .

Moja ya masharti ya dhamana ilikuwa ni wadhamini hao kuweka bondi ya maneno ya sh,Milini 14 kila mmoja,washitakiwa hawakuruhusiwa kutoka nje ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha bila kibali kutoka ofisi ya Naibu Msajili wa mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Baada ya mshitakiwa huyo kuruka dhamana,Kimambo alikimbia kukwepa mkono wa dola na kwenda kujificha kusikojulikana kwa zaidi ya miaka miwili lakini hivi sasa amerejea uraiani na polisi hawajaweza kumkamata japo wanamuona kila siku na wanapiga naye story za hapa na pale.

Ikumbukwe kuwa jinai siku zote huwezi ukaikimbia na unaweza ukahukumiwa bila wewe kuwepo na mahakamani lakini baada ya miaka mitano unaweza ukakamatwa na kwenda kutumikia kifungo chak,maana yake ni kwamba Kimambo bado ni mtuhumiwa na akikamatwa atatumikia kifungo chake kama mwenzake.
Acha unoko yameshaisha hayo,yamepita tugange yajayo
 
Miaka mitano imepita tangu atoroke akiwa nje ya dhamana Kamran Ahmed raia wa Pakistan ambaye alikamatwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)akisafrisha wanyama hai wenye thamani ya shilingi Milini 170.5 wakiwamo Twiga wanne kwenda Doha Qatqr Falme za kiarabu akitumia ndege ya jeshi .

Kamran alifikishwa mahakamani na wenzake wanne akishitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi,wote walinyimwa dhamana na mahakama za chini mjini Moshi lakini walipewa dhamana na mahakama Kuu Kanda ya Moshi baada ya kupewa masharti sita magumu lakini waliyatimiza na kuwa nje kwa dhamana.

Washitakiwa wengine ni Martin Kimati,Hawa Mang'unyuka na Jane Mbogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kenya .
Raia huyo wa Pakistan alidhaminiwa na watu wawili wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro,Peter temba(marehemu) na Jackson Kimambo ambaye yupo hai mpaka sasa lakini mshitakiwa huyo aliruka dhamana na mmoja wa wadhamni wake(marehemu Peter Temba)akitiwa mbaroni na kwenda kutumikia kifungo chake .

Moja ya masharti ya dhamana ilikuwa ni wadhamini hao kuweka bondi ya maneno ya sh,Milini 14 kila mmoja,washitakiwa hawakuruhusiwa kutoka nje ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha bila kibali kutoka ofisi ya Naibu Msajili wa mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Baada ya mshitakiwa huyo kuruka dhamana,Kimambo alikimbia kukwepa mkono wa dola na kwenda kujificha kusikojulikana kwa zaidi ya miaka miwili lakini hivi sasa amerejea uraiani na polisi hawajaweza kumkamata japo wanamuona kila siku na wanapiga naye story za hapa na pale.

Ikumbukwe kuwa jinai siku zote huwezi ukaikimbia na unaweza ukahukumiwa bila wewe kuwepo na mahakamani lakini baada ya miaka mitano unaweza ukakamatwa na kwenda kutumikia kifungo chak,maana yake ni kwamba Kimambo bado ni mtuhumiwa na akikamatwa atatumikia kifungo chake kama mwenzake.

JK Says: "Acha Unaa"
 
Miaka mitano imepita tangu atoroke akiwa nje ya dhamana Kamran Ahmed raia wa Pakistan ambaye alikamatwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro(KIA)akisafrisha wanyama hai wenye thamani ya shilingi Milini 170.5 wakiwamo Twiga wanne kwenda Doha Qatqr Falme za kiarabu akitumia ndege ya jeshi .

Kamran alifikishwa mahakamani na wenzake wanne akishitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi,wote walinyimwa dhamana na mahakama za chini mjini Moshi lakini walipewa dhamana na mahakama Kuu Kanda ya Moshi baada ya kupewa masharti sita magumu lakini waliyatimiza na kuwa nje kwa dhamana.

Washitakiwa wengine ni Martin Kimati,Hawa Mang'unyuka na Jane Mbogo ambaye ni raia wa Jamhuri ya Kenya .
Raia huyo wa Pakistan alidhaminiwa na watu wawili wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro,Peter temba(marehemu) na Jackson Kimambo ambaye yupo hai mpaka sasa lakini mshitakiwa huyo aliruka dhamana na mmoja wa wadhamni wake(marehemu Peter Temba)akitiwa mbaroni na kwenda kutumikia kifungo chake .

Moja ya masharti ya dhamana ilikuwa ni wadhamini hao kuweka bondi ya maneno ya sh,Milini 14 kila mmoja,washitakiwa hawakuruhusiwa kutoka nje ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha bila kibali kutoka ofisi ya Naibu Msajili wa mahakama Kuu kanda ya Moshi.

Baada ya mshitakiwa huyo kuruka dhamana,Kimambo alikimbia kukwepa mkono wa dola na kwenda kujificha kusikojulikana kwa zaidi ya miaka miwili lakini hivi sasa amerejea uraiani na polisi hawajaweza kumkamata japo wanamuona kila siku na wanapiga naye story za hapa na pale.

Ikumbukwe kuwa jinai siku zote huwezi ukaikimbia na unaweza ukahukumiwa bila wewe kuwepo na mahakamani lakini baada ya miaka mitano unaweza ukakamatwa na kwenda kutumikia kifungo chak,maana yake ni kwamba Kimambo bado ni mtuhumiwa na akikamatwa atatumikia kifungo chake kama mwenzake.
amemgonga mkeo nn, km jela kuzuri nenda ww kaka
 
Sheria umesoma vichochoroni? kuna mtu anahukumiwa kwa kesi ya mtu mwingine? hapo umemtaja kuwa ni mdhanimi, atatumikia kifungo kipipi? Katafute mtaalamu akufundishe ni hatua gani anachukuliwa mdhamini pale mtu alitemdhamini anapotoroka, halafu kwa kukupa dondoo anza na kuuliza hili neno hivi ku "SHOW COURSE" Maana ya ke ni nini? Hapa naona unazungumzia mambo ya kutumikia vifungo , unajua tofauti ya mahabusu na mfungwa?
 
Back
Top Bottom