polisi kijenge wauwa

polisi kijenge wauwa

zambez

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
2,071
Reaction score
255
polisi kijenge arusha wamemuuwa kijana mchonga funguo hapa kijenge chini kwa kumpiga kwa mateke kisha wakamuamishia ngulelo baada ya kumuibia pesa zake kisha wakamuachia na mwisho akiwa nyumbani akafariki akiwa anatapika damu ....igp mpya anzia apa...
 
polisi kijenge arusha wamemuuwa kijana mchonga funguo hapa kijenge chini kwa kumpiga kwa mateke kisha wakamuamishia ngulelo baada ya kumuibia pesa zake kisha wakamuachia na mwisho akiwa nyumbani akafariki akiwa anatapika damu ....igp mpya anzia apa...

Du!no imani kwa hawa jamaa kama ni hivyo so sad eeh
 
Wameanza tena,baba mwenye nyumba umeshakaribishwa...
 
Asante kwa taarifa, japokuwa uko too biased, ngoja tusubiri, tutapata ufafanuzi kwa wahusika.
 
nipo kijenge mimi mbona sijapata hiyo taarifa huyo kijana anaitwa nani
 
nipo kijenge mimi mbona sijapata hiyo taarifa huyo kijana anaitwa nani

nenda kijenge chini mtafute fundi makufuli mwenzake utapata ukweli wote inasikitisha sana...
 
polisi kijenge arusha wamemuuwa kijana mchonga funguo hapa kijenge chini kwa kumpiga kwa mateke kisha wakamuamishia ngulelo baada ya kumuibia pesa zake kisha wakamuachia na mwisho akiwa nyumbani akafariki akiwa anatapika damu ....igp mpya anzia apa...

Ndo polisi wetu hao, elimu ndogo, ubinadamu ziro, rushwa asilimia 100%!!!!
 
Back
Top Bottom