domo bwakubwaku
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 29
Kuna jamaa hapa ananihabrisha Kuwa katika Kata 17 za Arumeru kila Kata kuna polisi wanne na wanajeshi wanne wamepangishiwa nyumba watu mlioko Arumeru ni ya kweli hayo nakwanini iwe kipindi hiki cha uchaguzi