Mtagwa lindi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 311
- 96
nimepata malalamiko kuwa askari ambaye ni ispekta wa polisi amae alipangiwa kufanya kazi ya polisi jamii mwaya hafanyi kazi kituoni kwake na badala yake anaendesha mashtaka mahenge mjini wilayani huku akiaribu kesi na kudai rushwa kwa watuhumiwa,nawasilisha