Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,450
- 4,088
Hahaha...wepesi kama karatasi hawa.Duh..kweli wewe bwabwa, mkuu kakuambia hatumii hiyo bidhaa bado unamtaka tu, hatari na nusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hama nchi, nenda huko au andikeni upya katiba, Rais as the head of state huwezi mtukana au kumdhihaki ukabaki salama, ndiye nembo na alama ya Taifa nje ya mipaka, kumtukana mkuu wa nchi ni kulitukana Taifa.trump mwenyewe picha zake zinachomwa moto mtaani, sanamu yake inakojolewa hadhani, anatupiwa adi mayai viza, huyo meko /jiwe wenu yeye nani adi picha yake isujudiwe?
Yako zaidi ya hayo, wanatumia fake IDs na namba fake kutukana na kudhihaki.Kucheka jamani hata Mimi nikitazama picha yangu ya zamani huwa nacheka. Naimani hata nae anacheka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Bia yetu ni taasisi mkuu,sio mtu mmoja! Haiwezekani mtu mmoja awepo humu 24/7!Hupitwi!!!!!?
Kwani Trump Ni Nani mpaka atupiwe hayo mayai viza? Hebu weka video au picha Trump akitupiwa mayai viza.trump mwenyewe picha zake zinachomwa moto mtaani, sanamu yake inakojolewa hadhani, anatupiwa adi mayai viza, huyo meko /jiwe wenu yeye nani adi picha yake isujudiwe?
Itakuwa wapo wengi kila mmoja kaingia kwenye account hiyo kazi yao ni kudithi tu.Huyu Bia yetu ni taasisi mkuu,sio mtu mmoja! Haiwezekani mtu mmoja awepo humu 24/7!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu wamnyooshe hadi watajane na iyo miakaunti yao ya tweeter.Siwezi kuwa na mahaba na kiumbe mwenye kudare kumdhihaki mkuu wa nchi, tena wamweke kwa watukutu wapumlie kisogoni kabisa akitoka huko aseme kama Tundu Lissu kwamba "jail sio kuzuri".
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mkuu! Sio mtu mmoja nakwambia! Itafahamika tu one dayItakuwa wapo wengi kila mmoja kaingia kwenye account hiyo kazi yao ni kudithi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kuwa na mahaba na kiumbe mwenye kudare kumdhihaki mkuu wa nchi, tena wamweke kwa watukutu wapumlie kisogoni kabisa akitoka huko aseme kama Tundu Lissu kwamba "jail sio kuzuri".
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba ako pia bwabwa.Duh..kweli wewe bwabwa, mkuu kakuambia hatumii hiyo bidhaa bado unamtaka tu, hatari na nusu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wameamua kutumikia mabwana zao, wacha wapate mshahara wao.Idriss anajua kabisa mambo yamebadilika, Anajua kabisa serikali ya awamu ya 5 haitaki mazoea, ameshakamatwa akawekwa ndani kama onyo na akakiri amejifunza ilikuwaje akarudia tena kosa lile..
Niishie kusema ameyataka na ameyapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanyooka tu mkuu.Siwezi kuwa na mahaba na kiumbe mwenye kudare kumdhihaki mkuu wa nchi, tena wamweke kwa watukutu wapumlie kisogoni kabisa akitoka huko aseme kama Tundu Lissu kwamba "jail sio kuzuri".
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Idris kucheka picha kumesababisha political instability ?Definitely, hakuna maendeleo pasipo na political stability, katika Taifa ambalo watu wanapambana usiku na mchana mambo yaende then akatokea mwendawazimu mmoja tu kwa maslahi yake binafsi atumiwe kuleta instability lazima ashughulikiwe, tulieni mtayajua mengi na hizo mi parody yenu ya tweeter.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio ushangae aina ya wapuuzi tulionao nchi hii!Idris kucheka picha kumesababisha political instability ?
Si ajabu huyo unayemuona hajitambui anamaisha mazuri kuliko yako wacha wivu wakike weweNiwe na chuki na mjinga asiyejitambua km yule!