Polisi ibinafsishwe ili kuleta ufanisi

MGOGO27

JF-Expert Member
Jan 5, 2016
459
218
Jamani wanajamvi wenzangu niliwaza sana kuhusu sekta zilizobinafsishwa kama afya, elimu na ulinzi(binafsi) na labda maana ya kubinafsisha zitakuwa zilifanya vizuri mimi sijui?

Nilienda usiku kituo cha kati cha polisi nikakuta wameweka geti! sasa nilikuwa na haraka sana na ilikuwa ni muhimu kwenye taarifa niliyokuwa napeleka hapo ila hawa jamaa walinisimamisha na kunihoji sana sasa kama umeenda kuripoti maswala ya uhalifu unaoendelea itakuwaje? watawahi au watachelewa?

Baadae tulipomalizana nikahoji kwa nini wanaweka mageti?nikaambiwa kwa sababu ya kuogopa kuvamiwa na wananchi /raia wa kawaida sasa swali langu ni hivi suluhisho la watu au raia wema kuvamia vituo vya polisi kuweka mageti au kujua kwamba kwa nini raia wanavamia vituo vya polisi na kushughulikia sababu hiyo?

Polisi hawana watu au wataalam wa saikolojia? kama hawana basi wazo langu ni kubinafsisha ili kuleta ufanisi wa kazi zao mbona walibinafsisha sekta muhimu kama afya na elimu? kama wataalamu wapo mbona hawafanyi kazi zao???????Aibu kubwa sana hii kwa taifa.
 
duuh police ibinafsishwe ilo hapana sema liwe kisasa maana lipo manual sana....wanatumia kauli tuu ya intelejensia wakati vitendo hamna kitu kama icho...
 
Kwann mkuu?kwani hoja zangu hazina ukweli juu ya mageti kabla hjafika kaunta za polisi post?
Ni kama umekuwa mvivu hivi Wa kufikiri....Jeshi si taasisi kama ya mkonge...Ni lazma watu wahojiwe.....wanaoingia kituoni utaratibu huo upo toka mda mrefu nafikir hata kabla wewe haujazaliwa.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Hii ndo ile post mliyotaka iwe sticky kuhusu polisi ama? Just question..
Naomba tuwashauri ibinafsishwe ili wawe kisasa zaidi maana hawajui hata matatizo kuyatatua kwa njia sahihi,wanachojua ni ubabe(kuweka mageti)
 
pamoja na changamoto zote hizo, suluhisho sio kubinafsisha polisi!

Hili ni suala nyeti sana!
 
Ni kama umekuwa mvivu hivi Wa kufikiri....Jeshi si taasisi kama ya mkonge...Ni lazma watu wahojiwe.....wanaoingia kituoni utaratibu huo upo toka mda mrefu nafikir hata kabla wewe haujazaliwa.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Nashukur mkuu kwa maoni yako juu ya uvivu wang wa kufikiri ila ukweli ni kwamba mageti yemeanza baada ya matukio ya uharifu tena kama unajua yalikiwepo kwenye polisi post itaje tu wanaopajua watasema?ila polisi mkoa sawa mikoa mingi niliyoenda nimeona yapo,na shida yangu ni kwamba sio majeshi au taasisi zote za usalama ni vituo vya kati ambavyo vinahudumia watu wengi kwa nyakati za usiku mkuu
 
Nashukur mkuu kwa maoni yako juu ya uvivu wang wa kufikiri ila ukweli ni kwamba mageti yemeanza baada ya matukio ya uharifu tena kama unajua yalikiwepo kwenye polisi post itaje tu wanaopajua watasema?ila polisi mkoa sawa mikoa mingi niliyoenda nimeona yapo,na shida yangu ni kwamba sio majeshi au taasisi zote za usalama ni vituo vya kati ambavyo vinahudumia watu wengi kwa nyakati za usiku mkuu
Unajua maana ya police post?? Au unaandika kitu ambacho ukijui

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Unajua maana ya police post?? Au unaandika kitu ambacho ukijui

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mkuu unataka kniingiza class tena?sawa labda cjui lakin hata ww cjui km unajua maana ulisoma kle juu na ukanijib na kama maana yake co ile niliyomaananisha ungesema toka mwanzo,taja sehem ambako kna kituo cha kati chenye geti kabla cjazaliwa kwa faida yako nmezaliwa 1989,taja kituo mkuu
 
pamoja na changamoto zote hizo, suluhisho sio kubinafsisha polisi!

Hili ni suala nyeti sana!
Ni kweli ila waboreshe,maana ya kusema wabinafsishe ni kutaka kuonyesha ni kiasi gani hawa jamaa wanaudhi
 
Back
Top Bottom