Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,088
- 8,221
Kwa polisi wetu ukitoa taarifa, ww ndiyo wa kwanza kukamatwa na kuwekwa ndani. Mwisho wa siku unauunganishwa kwenye kesi ya ujambazi.Hizo AK 47 zipo nyingi sana huku mtaani ila police hamuaminiki
Polisi wa kiafrika siyo wazuri kbsa. Ni waonevu sana