Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Vitisho vinaendelea! Ila nao wabongo wanaendelea kuzoom kusubiri siku ifike tuone kitachotokea
==============
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, amesema Jeshi la Polisi mkoani humo limejipanga kwa umakini mkubwa kuhakikisha usalama na utulivu vinaimarishwa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao.
Masejo amesema moja ya maeneo yatakayopewa kipaumbele ni kudhibiti taarifa za upotoshaji au zinazoweza kuzua taharuki mitandaoni. Amesisitiza kuwa polisi hawatafumbia macho habari yoyote itakayolenga kupotosha umma au kuathiri amani katika kipindi hiki muhimu cha uchaguzi.
==============
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, amesema Jeshi la Polisi mkoani humo limejipanga kwa umakini mkubwa kuhakikisha usalama na utulivu vinaimarishwa kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao.
Masejo amesema moja ya maeneo yatakayopewa kipaumbele ni kudhibiti taarifa za upotoshaji au zinazoweza kuzua taharuki mitandaoni. Amesisitiza kuwa polisi hawatafumbia macho habari yoyote itakayolenga kupotosha umma au kuathiri amani katika kipindi hiki muhimu cha uchaguzi.