Polisi Arusha nao Pia Wanataka Amani

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Idadi kubwa ya polisi ambao jana walikua wamefurika katika viwanja vya mahakama waliomba viombo vya habari visaidie kuweka wazi mgogoro wa Arusha ili amani ipatikane.

"Jamani tusaidieni leo tumekaa siku nzima hapa na jambo hili litaendelea sasa hali hiii itaendelea mpaka lini Arusha ni mji wa kimataifa, mnataka amani ipatikane andikeni kila kitu msiogope mtu ili amani irejee Arusha," alisema polisi mmoja kwa sharti la kutoandikwa jina lake gazetini. Souce Gazeti la Mwananchi!

Maoni yangu na mtazamo wangu ni kua hii imeshajidhihirisha kua hata hawa askari wanataka amani ndani ya jiji hili la Arusha na kwa mtazamo wangu inaoneka kabisa kua askari hawa wanapata amri kutoka ngazi za juu serikalini kuwazibiti wapinzani. Waziri wa mambo ya ndani tafadhali ingilia kati hili swala kwakua waziri mkuu bwana Mizengo Pinda kashashindwa kutatua migogoro kati ya polisi na wanachama wa Chadema.
 
Waziri wa mambo ya ndani ataingiliaje wakati naye anaona na huenda anajaribu kufanikisha mikakati yote mizuri au mibaya dhidi ya viongozi wa vyama.
 
siasa siasa,siasa za bongo haziishi vioja,wananchi kama hawakutaki leave them alone.polisi mikwara ya nini?
 
Back
Top Bottom