Polisi ampigia saluti Lowassa

Polisi ampigia saluti Lowassa

Safi sana tutakukumbuka katika ufalme wetu ni mfano mzuri hata kwa polisi wengine.
 
Kwa akili zenu chadema Mnafikiri huyo polisi ni ukawa. Lowasa ni waziri mkuu mstaafu hivyo heshima yake mpaka anakufa au we ujaona pale jangwani siku ya uzinduzi Magufuli alipigiwa salute ma ADC wa rais
Subiri utaona tu!!!
 
Sio tu wazir mku, ni m/kiti wa ulinzi na usalama anafanya kazi nje na ndani ya nchi,.
 
Nahisi hata hii picha alimwambia mfotoaji ajiandae kwa tukio hilo, picha kama hizi huwa inatokea mara chache sana kuzipata.

Hivi unafahamu kama siku hizi kuna drones zinarekodi kila kitu?

Au wewe bado una akili ya kina michuzi kutembea na mkamera mkubwa?
 
Unapoandika au ku_comment tafakali juu va wenye uzoefu na professional flani, usikurupe kutaka sifa za ujanani.
Hivi unafahamu kama siku hizi kuna drones zinarekodi kila kitu?

Au wewe bado una akili ya kina michuzi kutembea na mkamera mkubwa?
Uwezo wa drones hauwezi kuwa sawa na hii picha -Acha ushamba wewe!.
 
Back
Top Bottom