Polisi ampigia saluti Lowassa

Polisi ampigia saluti Lowassa

yuko sahihi kwasb Lowasa ni waziri mkuu mstaafu,mwanajeshi. Hiyo ni salaam tu.
 
Kikatiba Afisa wa Polisi Yuko sahihi kumpigia salute ...kuhama chama hakuondoi ukweli kuwa amepata kuwa waziri mkuu na anastahili ceremonious respects ya vyombo vya ulinzi na usalama Hadi kifo ......na jeshi Halina siasa ...ukiona ambao hawatoi heshima kwa viongozi wakuu kwa kuwa wako upinzania watakuwa wanakosea
 
Kasoma nyakati anajua fika huyo ndiyo rais ila naomba mh. rais huyo ofisa kwenye serikali ya 5 ajeapewe u IGP maana ameonyesha msimamo maana miafisa mingine inatumika sana
 
attachment.php

Safi afande kwa kujitambua! bila shaka huyo ndiye amiri jeshi mkuu wako mtarajiwa.
 
Nahisi hata hii picha alimwambia mfotoaji ajiandae kwa tukio hilo, picha kama hizi huwa inatokea mara chache sana kuzipata.
 
Kasoma nyakati anajua fika huyo ndiyo rais ila naomba mh. rais huyo ofisa kwenye serikali ya 5 ajeapewe u IGP maana ameonyesha msimamo maana miafisa mingine inatumika sana

Mkuu atapewa u IGP bila hata kuzingatia taratibu za kupanda vyeo...kweli itakuwa ni wakati wa mabadiliko
 
teteteh na vyeo wanavyopewa akina makonda wakipiga wazee mwache apewe u IGP wake vote to HNR Lowasa
 
Ndugu wana jf hebu nipeni elimu ya kutosha kuhusiana na ofisa wa police jana Kigoma baada ya kuteremka kwenye helkopta je alikosea au yuko sahihi na kama alikosea atachukuliwa hatua gani ? Je Lowasa bado anapata stahiki zake zote ? Kama Waziri mkuu mstaafu ? Namaanisha ulinzi wa Serikari,Posho ya kila mwezi na Usafiri

Hizo stahili zake ni hitaji la katiba, ambayo ndo sheria kuu ya nchi hii. Kwa hiyo ataendelea kupata hata kama atachaguliwa kuwa rais labda kufanyike marekebisho katika katiba ambayo yatazuwia hilo. Kwa sasa anapata 80% ya mshahara wa Pinda.
 
Lowassa ni kaptain msataafu wa jeshi la Wananchi, hivyo ni halal kupigiwa saluti.
 
Huyo sio waziri mkuu msitaafu bali ni waziri mkuu aliyejiuzulu, na huyo afande nina wasiwasi nae kama sio wa bandia.
 
kwani kuna ubaya huyo ni rais anasubiri kuapishwa.lowasa mungu anampigania sana
 
Ni heshima tuu, ndio maana Kova alipigia salute mwili wa marehemu Kanumba
 
Sio Wafanyakazi wote wanaokubaliana na dhuluma ya miaka 54 ya CCM! Wengi sana wapo UKAWA ila ndo hivyo, hawawezi kujitokeza!
 
Sio Wafanyakazi wote wanaokubaliana na dhuluma ya miaka 54 ya CCM! Wengi sana wapo UKAWA ila ndo hivyo, hawawezi kujitokeza!

Kwa akili zenu chadema Mnafikiri huyo polisi ni ukawa. Lowasa ni waziri mkuu mstaafu hivyo heshima yake mpaka anakufa au we ujaona pale jangwani siku ya uzinduzi Magufuli alipigiwa salute ma ADC wa rais
 
Back
Top Bottom