Polisi ampigia saluti Lowassa

Polisi ampigia saluti Lowassa

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
attachment.php
 
naona afande ameachia vidole viwili juu huyo hana kazi kesho
 
Kamanda huyo anatoa heshima kwa kamanda mwenzie.Msishangae hiyo ni itifaki tu inazingatiwa.
 
Hata Magufuli anapaswa kumpigia salute Lowassa maana huyo ndiye aliyekuwa waziri mkuu wake.
 
Ndugu wana jf hebu nipeni elimu ya kutosha kuhusiana na ofisa wa police jana Kigoma baada ya kuteremka kwenye helkopta je alikosea au yuko sahihi na kama alikosea atachukuliwa hatua gani ? Je Lowasa bado anapata stahiki zake zote ? Kama Waziri mkuu mstaafu ? Namaanisha ulinzi wa Serikari,Posho ya kila mwezi na Usafiri
 
Ndugu wana jf hebu nipeni elimu ya kutosha kuhusiana na ofisa wa police jana Kigoma baada ya kuteremka kwenye helkopta je alikosea au yuko sahihi na kama alikosea atachukuliwa hatua gani ? Je Lowasa bado anapata stahiki zake zote ? Kama Waziri mkuu mstaafu ? Namaanisha ulinzi wa Serikari,Posho ya kila mwezi na Usafiri

Mtoto wa kiume punguza umbea, swali umeuliza wewe kisha ukajijibu wewe halafu unataka tuchangie nini? Punguza upashkuna.
 
Back
Top Bottom