Dah! Poleni ila mnaweza kwenda mahakama ya juuTaarifa ilishatolewa na jalada lilishafunguliwa tukapewa na PF3 kwenda hospitali ndiko alikofariki mgonjwa lakini hakuna kinachoendelea
Sharia ni halali kwa kila mtu.Usipite tu hebu toa mchango wako wann kifanyike kuhusu jambo Hilo kwa sababu tunaona raia wanapogonga wanafikishwa mahakamani wann huyu nae asifikishwe huko
Haijalishi umemgonga wapi bado kosa lipo pale pale.Kama ni hapo NDUGU waende MAHAKAMANI.. ni KOSA KISHERIA...
ila angegongwa nje ya kivuko cha watembea kwa miguu.. ingekuwa ngumu kupata haki yao.. kwasababu anaweza jitetea kuwa MAREHEMU alivuka bila kuangalia pande zote mbili hivyo makosa ni ya MAREHEMU mwisho wa siku analipa faini 40ELFU.. anadunda mtaani
STK inahusika. Kaulize utaambiwa imefikia hatua ganiNAOMBA KUULIZA:Kuna polisi akiendesha gari akagonga na aliyegongwa akafariki hakuna kilichoendelea hadi leo yupo mtaani anadunda tu kwani sheria za nchi hii ni kwa raia tu wengine.