♀️..Amegongwa kwenye kivuko cha waenda kwa miguu ina maana mtu akishakufa haki haitendekikuna sheria za barabarani... je aliyegongwa kagongwa wapi?? katika zebra? kuna makosa mengine yanatafsiriwa kama bahati mbaya.. ndio maana kuna msemo BORA UGONGE MTU AFE KULIKO AUMIE
Kama ni hapo NDUGU waende MAHAKAMANI.. ni KOSA KISHERIA...Amegongwa kwenye kivuko cha waenda kwa miguu ina maana mtu akishakufa haki haitendeki
NDUGU WANAPASWA KUFATILIA KESI YAO.. NA HAKI ITATENDEKA.. ILA KAMA HAWANA ELIMU JUU YA HAKI YAO.. NDIO IMETOKA HIYO..Kwenye kivuko cha waenda kwa miguu ndipo ajali imefanyika
Yupo na unamjuaWaambie ndugu na jamaa wa marehemu wakashitaki police♀️..
Hakuna aliye juu ya sheria.