Al jamil Member Joined Oct 18, 2011 Posts 7 Reaction score 0 Oct 20, 2011 #2 Ulev ni nomaaaa...! Ila nashukuru cyo wa Tz, atakuwa wa Mwai Kibaki coz angemtia aibu mzee Mwema
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Oct 20, 2011 #3 angekua wa bongo tungeita fbi waje watusaidie kumtambua,angeshughulikiwa! yaana if need be dna ya picha ingefanyika,hii sio serikali legelege kwenye hizi issues
angekua wa bongo tungeita fbi waje watusaidie kumtambua,angeshughulikiwa! yaana if need be dna ya picha ingefanyika,hii sio serikali legelege kwenye hizi issues
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,701 Reaction score 6,930 Oct 20, 2011 #4 Kwa jinsi alivyolalia hiyo machine gun unaweza kushindwa kuichukua na alivyolala ni kama yuko standby kuitumia!!!
Kwa jinsi alivyolalia hiyo machine gun unaweza kushindwa kuichukua na alivyolala ni kama yuko standby kuitumia!!!
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Joined Oct 1, 2011 Posts 2,918 Reaction score 1,236 Oct 20, 2011 #5 Atakuwa anaumwa tu jamani siyo ulevi huo.
M mwacheni77 JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 763 Reaction score 210 Oct 20, 2011 #6 Amechoka tu amebeba silaha nzito
facebook Senior Member Joined Jun 25, 2011 Posts 198 Reaction score 36 Oct 20, 2011 #7 Polisi wanachoka sana, ni kama mbwa tu.
ntamaholo JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 12,950 Reaction score 6,981 Oct 20, 2011 #8 Mwanamayu said: Kwa jinsi alivyolalia hiyo machine gun unaweza kushindwa kuichukua na alivyolala ni kama yuko standby kuitumia!!! Click to expand... duuh unafaa kuwa armed forces analyist. uko juu
Mwanamayu said: Kwa jinsi alivyolalia hiyo machine gun unaweza kushindwa kuichukua na alivyolala ni kama yuko standby kuitumia!!! Click to expand... duuh unafaa kuwa armed forces analyist. uko juu
Dreamliner JF-Expert Member Joined Jan 17, 2010 Posts 2,034 Reaction score 214 Oct 20, 2011 #9 Kazi nyingi mshahara kidogo, acha ajipumzikie.
Dreamliner JF-Expert Member Joined Jan 17, 2010 Posts 2,034 Reaction score 214 Oct 20, 2011 #10 Anatafakari. Kama wengine wakiwa mjengoni.
ALLEX JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 2,006 Reaction score 346 Oct 20, 2011 #11 pole kwa uchovu
Leonard Robert JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 11,138 Reaction score 7,398 Oct 20, 2011 #12 wengi wanapiga hizo ila uyo zimemkuta za mwizi.
MduduWashawasha JF-Expert Member Joined Mar 5, 2008 Posts 1,653 Reaction score 605 Oct 20, 2011 #13 ka dedi huyu
KING MIDAS JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,569 Reaction score 21,078 Oct 20, 2011 #14 Mbuzi Mzee said: Click to expand... anawakilisha ujumbe wake kwa mwajiri kwa njia ya bodi langweji
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Oct 20, 2011 #15 Pumbavu kabisa angechomoa hiyo magazine na kuiweka mfukoni hapo ni hatari sana!
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Oct 20, 2011 #16 Itakuwa si Tz.
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,614 Reaction score 64,464 Oct 20, 2011 #17 BWANA asipoulinda mji waulindao wanakesha bure.
Elungata JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 40,343 Reaction score 33,487 Oct 20, 2011 #18 nijeria ndo wanavaa unifomu black..hii picha ya kuchomoa toka filamu za kinajeria